Sawa umesikika kachukue posho ukalale siku tukianzaa fyekana huku tunaulizia dini,kabila, kanda ndo utajua faida ya us!!!!::ge wa vitu mnavopandikiza
kuna tetesi kwamba makamo mwenyekiti atateuliwa mwanamke tena kutoka mkoa wa mara na huyo mtu aliwahi kuwa kiongozi wa chadema wilaya mojawapo mkoani mara na kiongozi wa kitaifa chadema kupitia baraza kabla ya kutimkia huko nccra mageuzi hii nihofia ukabila,ukanda,pia jinsia