Mbatia kidedea NCCR

Mbatia kidedea NCCR

bora Mbatia kasimama na mtu tunasema demokrasia imetekelezeka je dj zero anayeomba poo..!apishwe agombee na kivuli?huyo ndio mwehu halafu anahubiri demokrasia asiyoiweza itekeleza
 
Sawa umesikika kachukue posho ukalale siku tukianzaa fyekana huku tunaulizia dini,kabila, kanda ndo utajua faida ya us!!!!::ge wa vitu mnavopandikiza

kama mbatia mwenyewe amekili ktk hotuba yake wewe unaongelea huku pembeni kwa unapinga maneno ya mbatia?
 
Sasa kafulila aliyemuona Mbatia hafai wakati ule mbona hajagombea? hawa watu wa Kigoma ni unafikina uharibifu tu, maana huu ndio ungekua wakati hasa wa Mh Kafulila kuonyesha kile alichokua anakitaka wakati ule chadema na baadae huko NCCR, sio kusubiri wakati mambo yanaenda shwari ndio kuleta hadithi za ajabu,

Uko obsessed na watu wa Kigoma sana, badili mtazamo.
 
Back
Top Bottom