Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,837
Kwa sisi tunaomjua mbatia ni mwanasiasa Nguli na anapenda sana haki, mbona yupo kimya sana na haonekani kwenye media.
Tulitarajia hili suala la Bandari na bajeti ya kipumbavu iliyopitishwa bungeni na wasiojitambua angekuwa kawapa vidonge vyao ila no any information about him
Je, yu Wapi Mbatia wana NCCR Mageuzi njooni mtupe majibu tafadhari Mbatia sio Mali yenu ni mali ya Watanzania
Tulitarajia hili suala la Bandari na bajeti ya kipumbavu iliyopitishwa bungeni na wasiojitambua angekuwa kawapa vidonge vyao ila no any information about him
Je, yu Wapi Mbatia wana NCCR Mageuzi njooni mtupe majibu tafadhari Mbatia sio Mali yenu ni mali ya Watanzania