Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Oh sorry nimesoma vibaya. Kumbe anapiga vita unywaji wa K Vant...Huo ujumbe ukiusoma unaona kuna kupinga ushoga hapo kweli? Babu unaniangusha sana.
Oh sorry nimesoma vibaya. Kumbe anapiga vita unywaji wa K Vant...Huo ujumbe ukiusoma unaona kuna kupinga ushoga hapo kweli? Babu unaniangusha sana.
Anajisafisha tu.Maana yake ni kwamba, kukosa kuokoka saa hizi wangeshatifuana kisamvu. Hapo ndio nilipoelewa mimi.