Mbasha, Flora wasaka suluhu kurudiana

Mbasha, Flora wasaka suluhu kurudiana

Ili kurudiana mpaka watangaze kwenye magazeti? hawajatulia japo wanajitia kuimba injili.

Imeandikwa "Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye Bali mke mwenye Busara ,mtu Hupewa na Bwana . Na neno likawe taa na Mwanga popote tunapopita tuimbe haleluya.Na pia imeandikwa "Mke mwema ni nani awezaye kumwona ? Maana kima chake chapita kima cha marijani moyo wa mumewe humwamini wala hatkosa kupata mapato"
 
Flora hafai kua mke tena labda suluhu ya kugawa kidogo walichonacho lakini sio ndoa tena.
Duuh inaelekea unamfahamu vizuri Flora.....btw funzo hapo kwa wasanii wetu ni kwamba wanatakiwa waishi maisha ambayo ni ya kwao na hata kama kuna mgogoro suruhisho sio kukimbilia kwenye vyombo vya habari na hata kama chombo cha habari kimekuhoji sio lazima kutoa ya moyoni simply becoz unadhani unasafisha jina kumbe ndio unazidi kulichafua na hasa ukizingatia wanaimba muziki wa upande wa pili wa shilingi
 
Wahajianika kuliko nyanya za sokoni, hapo hata heshima itakuwepo kweli?

Duuh inaelekea unamfahamu vizuri Flora.....btw funzo hapo kwa wasanii wetu ni kwamba wanatakiwa waishi maisha ambayo ni ya kwao na hata kama kuna mgogoro suruhisho sio kukimbilia kwenye vyombo vya habari na hata kama chombo cha habari kimekuhoji sio lazima kutoa ya moyoni simply becoz unadhani unasafisha jina kumbe ndio unazidi kulichafua na hasa ukizingatia wanaimba muziki wa upande wa pili wa shilingi
 
Hii sasa ni EPISODE ya ngapi!!!!!!!!!!!!!!!

YA KWANZA: "MUME WA FLORA AMBAKA SHEM"

YA PILI: "MUME WA FLORA AJISALIMISHA POLISI"

YA TATU: " MUME WA FLORA ATUPWA RUMANDE"

YA NNE: "MUME WA FLORA ATOLEWA NJE KWADHAMANA"

YA TANO: MUME NA MKEWE WAPO TAYARI KUONDOA TOFAUTI ZAO NA KURUDIANA"



Haya mimi nasubiri Episode ya SITA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!!
 
Wahajianika kuliko nyanya za sokoni, hapo hata heshima itakuwepo kweli?
Mwisho wa siku wanapigana na nafsi zao hivi watatuonaje tukirudiana, ukizinguana sio na mke tu hata na ndugu unatakiwe uchague ya kuongea na nani wa kumwambia
 
Duuh inaelekea unamfahamu vizuri Flora.....btw funzo hapo kwa wasanii wetu ni kwamba wanatakiwa waishi maisha ambayo ni ya kwao na hata kama kuna mgogoro suruhisho sio kukimbilia kwenye vyombo vya habari na hata kama chombo cha habari kimekuhoji sio lazima kutoa ya moyoni simply becoz unadhani unasafisha jina kumbe ndio unazidi kulichafua na hasa ukizingatia wanaimba muziki wa upande wa pili wa shilingi


Hapo Mkuu umenikumbusha wimbo mmoja hiv........ Sikumbuki ni Bend ipi waliimba.

Upo hivi:


".......Nilikueleza tokea mwanzo tunapofarakana kashfa haifai.....umenikashfu hadharani tulipoasiana... umenisimanga kwa watuuuu, leo tupo pamoja, aibu sasa ni ya nani kama siyo yako na yangu; naomba jibu kwakoooo.....naomba jibu kwakooo.................."




Nimeupenda sana wimbo huu kutokana na tukio hili la Mbasha.

HONGERAKWA MTUNZI NA WAIMBAJI WA WIMBO HUU.

MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!!
 
Hii sasa ni EPISODE ya ngapi!!!!!!!!!!!!!!!

YA KWANZA: "MUME WA FLORA AMBAKA SHEM"

YA PILI: "MUME WA FLORA AJISALIMISHA POLISI"

YA TATU: " MUME WA FLORA ATUPWA RUMANDE"

YA NNE: "MUME WA FLORA ATOLEWA NJE KWADHAMANA"

YA TANO: MUME NA MKEWE WAPO TAYARI KUONDOA TOFAUTI ZAO NA KURUDIANA"



Haya mimi nasubiri Episode ya SITA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!!

kwanini uumie mkuu
 
Ukiona hivyo, jua wote wawili vichwani neh, maboya tu.

Mwisho wa siku wanapigana na nafsi zao hivi watatuonaje tukirudiana, ukizinguana sio na mke tu hata na ndugu unatakiwe uchague ya kuongea na nani wa kumwambia
 
Things will never be the same again! Muujiza unahitajika
 
Back
Top Bottom