sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,206
- 8,041
Ebu acha kujitoa ufahamu kwahiyo unawatetea hao wanaotuhumiwa kuiba simu na kuchoma bwalo ili waondoke na simu au hujaelewa niliowasema walienda kusomea ujinga.Kama kwenda kusoma chuo cha dini ni ujinga basi watafutie shule ya mashoga ambao nyie wa upande wa wazungu mumeuuunga mkono na kudiriki makanisa kufungisha kuhalalisha na kufungisha hizo ndoa za jinsia mojaUjinga
Yani watu wanatuhumiwa kuiba na kuchoma jengo wewe unatetea walienda kusoma dini, dini gani inaruhusu uhalifu.