Tutasaudiana naye hakuna namnaSie tuna kijana wa kufanya hayo makazi yote baba alinambia nisiguse Kaz yyte
Me simpendi hata,Mimi nina ladha zangu machachari achana na huyo kila muda kasimamisha
Si ndio Yuko Ile age muda wote husumbuki kumuitaMe simpendi hata,Mimi nina ladha zangu machachari achana na huyo kila muda kasimamisha
Huyo anaweza kula hadi mashemejiSi ndio Yuko Ile age muda wote husumbuki kumuita
SawaTutasaudiana naye hakuna namna
Qmamake wewe demi wewe una laana 🤣🤣🤣🙌Imagine wakati unanikula namvutia hisia Mbappe
Kuna ukweli fulaniHuyo anaweza kula hadi mashemeji
Kuna ukweli kabisa kabisaKuna ukweli fulani
A fractionKuna ukweli kabisa kabisa
IpiA fraction
Cha Kufanya na wewe anza kuwasifia kina Mobeto ili muende sawa.Habari wakuu
Huyu binti katokea kumpenda sana Mbappe wa France kutwa kucha anampost na kumsifia na anamuita my heart choice.
Baada ya kugundua hilo kama mwanaume nimeamua nimute sina haja ya kuongea chochote maana ni kama sisi wengine ni hopeless kabisa.
Kheee! KumekuchaaaaMbappe ndio Mimi hapaView attachment 2453210
Haina madhara maana hutajua😅Qmamake wewe demi wewe una laana 🤣🤣🤣🙌
Ni kweli hautajua ni nani anamwazia lakini demu ukiwa unampelekea moto kama hisia zake haziko hapi kwenye tendo utajua tuHaina madhara maana hutajua😅
😂😂😂😂😂😂😂 wew kaka nilikua siko sawa ila umenichekesha sna kha .Mke wangu anasumbuliwa na Mr been.kaweka profile picture View attachment 2452437