🤣🤣🤣 aliwahi kukupelekea moto kisawasawa ukamwelewa nini?Aah wapi...
Kuna wakati bao haliji hadi umkumbuke mzabzab
Hajawahi, namvutia hisia tu😅😅🤣🤣🤣 aliwahi kukupelekea moto kisawasawa ukamwelewa nini?
Jamani bby kumbe unanivutiaga picha wakati unapelekewa moto😍😍😍😍Aah wapi...
Kuna wakati bao haliji hadi umkumbuke mzabzab
Ndio baby wanguJamani bby kumbe unanivutiaga picha wakati unapelekewa moto😍😍😍😍
It warms my heart to hear thisNdio baby wangu
Ulishawahi kuonana naye au unafanya tu imagination?🤣🤣🤣Hajawahi, namvutia hisia tu😅😅
Kuna mmoja alisema mechi ya leo ni kati ya messi na Argentina badala ya France ila mademu bwana na wala hajui sometimes team anayoshabikia imevaa jezi gani yeye kila team itakayofunga anashangilia.Madem utawaweza, Brazil walivyotolewa, Status za Madem wengi wasap ilikua
"Ohoooo Pole My Neymar"
"Jamaan Brazil why??"
Na ma blaaaa blaaaah kibao !!.
Juzi ya Akina mbapeee ,basi jamaa
"mbapeeee wanguuuu "
Na mbalaaa blaaaah.
Wasiwasi wangu nikama Demu wako nayeye ameingis kwenye mkumbo wa PICHA ZA MBAPE ,alopigwa akionekana mbooo imesimama.
Hivi Wanawake unawajua?? Unaweza Hisi anamsifia Kila Mara Kwa sababu kafunga magoli, la hashaa, ni Kwa sababu ya hiyo picha mitandao .
Cha kufanya ??
Muulize Baby, Mbape anachezea Klabu gan???? Akikujibu, "Ufaransa"...
Mpige economic sanctions yaaan NO MATUMIZI.....huyo Mbape aanze kumtunza !!
![]()
Huyu kuna nae makini bby maana anapenda tope balaaa ebu kaa nae mbali kabisa.Mbona unanichimba jamani?😅😅😅
mzabzab njoo umuone huyu anaona wivu
Jaribu kuelewa hisia zake za kupenda mpira au hata kuwapenda wachezaji wa mpira kwani yeye ni binadamu kama walivyo wengi na inaonyesha ni mshabiki wa Mbape, mfaraji katika wakati huu mgumu wa majonzi ukitaka umu-win.Habari wakuu
Huyu binti katokea kumpenda sana Mbappe wa France kutwa kucha anampost na kumsifia na anamuita my heart choice.
Baada ya kugundua hilo kama mwanaume nimeamua nimute sina haja ya kuongea chochote maana ni kama sisi wengine ni hopeless kabisa.
Hujakosea kweli, niko kwenye hilo kundiHivi Wanawake unawajua?? Unaweza Hisi anamsifia Kila Mara Kwa sababu kafunga magoli, la hashaa, ni Kwa sababu ya hiyo picha mitandao .
Wadada wameilewa mashine ile, zigo limetulia lileMbappe ana miaka 24..lakini mademu wa Jf wanamchobokea..sasa wewe jichanganye useme una miaka 24 utakavyoitwa mtoto humu Jf.
Wamatumbi hawana hiyo mizigo?.Wa
Wadada wameilewa mashine ile, zigo limetulia lile
Lazima nione wivu ungejua ninavyokuhusudu 🤣🤣🤣Mbona unanichimba jamani?😅😅😅
mzabzab njoo umuone huyu anaona wivu