Mbappe kanitekea demu wangu

Mbappe kanitekea demu wangu

Uzi umeingia cha kike hahhaaa 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
 
Madem utawaweza, Brazil walivyotolewa, Status za Madem wengi wasap ilikua

"Ohoooo Pole My Neymar"

"Jamaan Brazil why??"

Na ma blaaaa blaaaah kibao !!.


Juzi ya Akina mbapeee ,basi jamaa

"mbapeeee wanguuuu "

Na mbalaaa blaaaah.


Wasiwasi wangu nikama Demu wako nayeye ameingis kwenye mkumbo wa PICHA ZA MBAPE ,alopigwa akionekana mbooo imesimama.


Hivi Wanawake unawajua?? Unaweza Hisi anamsifia Kila Mara Kwa sababu kafunga magoli, la hashaa, ni Kwa sababu ya hiyo picha mitandao .


Cha kufanya ??


Muulize Baby, Mbape anachezea Klabu gan???? Akikujibu, "Ufaransa"...


Mpige economic sanctions yaaan NO MATUMIZI.....huyo Mbape aanze kumtunza !!


Kuna mmoja alisema mechi ya leo ni kati ya messi na Argentina badala ya France ila mademu bwana na wala hajui sometimes team anayoshabikia imevaa jezi gani yeye kila team itakayofunga anashangilia.
 
Habari wakuu

Huyu binti katokea kumpenda sana Mbappe wa France kutwa kucha anampost na kumsifia na anamuita my heart choice.

Baada ya kugundua hilo kama mwanaume nimeamua nimute sina haja ya kuongea chochote maana ni kama sisi wengine ni hopeless kabisa.
Jaribu kuelewa hisia zake za kupenda mpira au hata kuwapenda wachezaji wa mpira kwani yeye ni binadamu kama walivyo wengi na inaonyesha ni mshabiki wa Mbape, mfaraji katika wakati huu mgumu wa majonzi ukitaka umu-win.
 
Screenshot_20221221-172811_Instagram.jpg
 
Mbappe ana miaka 24..lakini mademu wa Jf wanamshobokea..sasa wewe jichanganye useme una miaka 24 utakavyoitwa mtoto humu Jf.
 
Wa
Mbappe ana miaka 24..lakini mademu wa Jf wanamchobokea..sasa wewe jichanganye useme una miaka 24 utakavyoitwa mtoto humu Jf.
Wadada wameilewa mashine ile, zigo limetulia lile
 
Back
Top Bottom