Mbappe kanitekea demu wangu

Mbappe kanitekea demu wangu

😂😂😂Usilolijua ni sawa na usiku wa sa tisa😂😂
Hakikaaaa namie nmeyaasema hayo nikiwa silijui ila Kwa muktadha huohuo, mdada anayekaa kwao ,daahhh hayupo huru kabisa 🤣🤣

Kumtoa out usiku au kulala nje, mpaka ajielezeee sana utadhan anafanya usahili wa Kazi
 
Kumtoa out usiku au kulala nje, mpaka ajielezeee sana utadhan anafanya usahili wa Kazi
Itabidi apangwe kuwa labda anaenda kulala kwa rafikiye wanajisomea. Wakati Niko Moscow nilikutana na mabinti wadogo club nikamuuliza mmoja kuwa hapa ulipo mzazi wako anajua kuwa upo hapa akakataa akaniambia kuwa aliwaambia kuwa anaenda kwa rafiki yake sijui kusoma sijui party. Hata Ile kulana mate hadharani hawafanyi mbele ya wazazi wao.


So na huyu itabidi atumie mbinu hii itafaulu.
 
Habari wakuu

Huyu binti katokea kumpenda sana Mbappe wa France kutwa kucha anampost na kumsifia na anamuita my heart choice.

Baada ya kugundua hilo kama mwanaume nimeamua nimute sina haja ya kuongea chochote maana ni kama sisi wengine ni hopeless kabisa.
Si shida mkuu usiwaze jamaa yupo mbali sana , potezea
 
Na wewe Anza kumpost yule Miss Croatia ila unahide wengine anaview yeye tu maana kwa mwanaume kufanya hivi ni umama. Post hata Mara nne kwa siku muda mwingine hata mko naye unaibusu picha ya huyo bibie. Atalalamika na wewe utamwambia na wewe ulivyokuwa unafanya. Then mtayaongea yataisha.
Umeua
 
Back
Top Bottom