Mbappe kanitekea demu wangu

Aliyenacho ataongezewa tu hahaha

Nahizo za kuvutia chupi pemben ,daaahh zinanogaga
Sema Demi wee unaonekana unakitu fulan kizuri sana


Unajua sisi wanaume tunapenda mwanamke awe hivi

1-Kwenye public yaan akiwa mtaan mbele za watu awe naheshima... Watu watupongeze kwakua na Mwanamke huyo.


2-Mkiwa naye Ndani ,utakatifu,Heshima zake pemben hukoo yaan chumban mwanamke awe na pigo za umalayamalaya hiviii ,ASIWE na aibu, aongee, akiimiss mashineeo aseme , wakati mwingine aanze yeye, kitandan akupeee, akupakulieeeee haswaaaaa .



Sio demuuu anakua na pigo za kidini mpaka kitandani 😏😏
 
Mbappe unamtesa binti wa watu huku Tz. πŸ˜„πŸ˜„
 
πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Hapo kumrusha roho mbona simpo tu! Anza kumsifia BEYONCE kwa sura na umbo lake bomba. Halafu weka picha yake kwenye simu yako kama Wallpaper utaona mnuno wake. Wana wivu wa kijinga hao!!!
 
πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
Nakufataa hukohuko ,nitakapokukamatia hapohapo, chupi pemben ,sitojali Kuna watu au lah🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…