Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,825
Mbappe gonna play you like a violin☺️I salute
Mbappe gonna play you like a violin☺️I salute
Yeye awadatishe tu, uzuri kula tunakula sisi wahapa hapa.Mbappe akawadatisha wengi mwaka huu ..
Hakuna mwanamke atakae Iona hii picha akabakia salama Vila kuwaza ushenzi, labda mtoto. Mbappe umetutia majaribuni
Yeye awadatishe tu, uzuri kula tunakula sisi wahapa hapa.
🤣🤣🤣eti mamake Cheki na mbappe akusaidie..Haha na ni kwenye vitu vidogo-vidogo tu ambavyo huwa wanasumbuka navyo.
“Baba watoto naomba nisogezee hiyo sahani hapo” jibu ni moja tu “mama ake cheki na Mbappe akusaidie
Hata usijali Babeee, Sie tupo hapahapa Tanzania yetu 🤣Hakuna mwanamke atakae Iona hii picha akabakia salama Vila kuwaza ushenzi, labda mtoto. Mbappe umetutia majaribuni
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Uko na kisasi kizito sana we mtu khaNa mimi huwa sio msahaulifu nitakomaa na wewe mpaka ukubali yaishe.
Sijui “babe mbona leo umerudi usiku saa tisa na simu hupokei! jibu ni moja tu “nilikesha uwanjani kwa Mkapa nilikua najifunza chenga kama za Mbappe”
Ewaaaa mtafanyaje Sasa, mtuzoeee na tupeane tuKiufupi nyinyi ndio mpoooo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Uko na kisasi kizito sana we mtu khaNa mimi huwa sio msahaulifu nitakomaa na wewe mpaka ukubali yaishe.
Sijui “babe mbona leo umerudi usiku saa tisa na simu hupokei! jibu ni moja tu “nilikesha uwanjani kwa Mkapa nilikua najifunza chenga kama za Mbappe”
🤣🤣🤣 Leo mmetuamliaMbappe yupo vizuri kwa kweli.
Hahaha...naona unalia wivu dogo kwa ishu ya mtu aliyepo maili nyingi sana kutoka Tanzania.Relax,wewe upo na ndiye uliye na umiliki wa huyo mdada kwa sasa.Mbappe atasubiri sana.IshiHabari wakuu
Huyu binti katokea kumpenda sana Mbappe wa France kutwa kucha anampost na kumsifia na anamuita my heart choice.
Baada ya kugundua hilo kama mwanaume nimeamua nimute sina haja ya kuongea chochote maana ni kama sisi wengine ni hopeless kabisa.
Daaah! Kwa hiyo Demi unataka kusema Mbappé akiomba mzigo hata huulizi unamvulia tu pichu fasta kwa haraka?🤔😳Vimeo tupo wengi. Mbape is Sexy as hell.
Aliyenacho ataongezewa tu hahahaHakuna kujizungusha ni g string inasogezwa
Daaah!🤣🤣🤣Hakuna kujizungusha ni g string inasogezwa
Leooooooo😅😅😅😅😅Mbappe gonna play you like a violin☺️
Kila mwanamke anampenda mbappe na mnajua Hilo sasa kwanini hampendi maboyfriend wenu wawe na wanawake wengi?Sikuwa namjua jamani zaidi ya kumsikia jina..huyu anakukojolesha walai kabla hajakugusa
Kwani Mbappé umempendea nini?Sikuwa namjua jamani zaidi ya kumsikia jina..huyu anakukojolesha walai kabla hajakugusa