Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,748
- 91,814
Ewaaaa siumeona Sasa ,sisi twaishi kijamaa, Huwa hatutupaniš¤£š¤£Em ngoja kwanza kumbe ww ni msukuma wa Bariadi.
Mim pia babu yangu mzaa baba ni msukuma wa Bariadi
Ewaaaa siumeona Sasa ,sisi twaishi kijamaa, Huwa hatutupaniš¤£š¤£Em ngoja kwanza kumbe ww ni msukuma wa Bariadi.
Mim pia babu yangu mzaa baba ni msukuma wa Bariadi
Usijidanganyeš šHaya bana so kumbe hakuna haja ya kutafuta pesa
Nawewe mposti yule demu best UEFA femane player of the year ngoma itakuwa drooHabari wakuu
Huyu binti katokea kumpenda sana Mbappe wa France kutwa kucha anampost na kumsifia na anamuita my heart choice.
Baada ya kugundua hilo kama mwanaume nimeamua nimute sina haja ya kuongea chochote maana ni kama sisi wengine ni hopeless kabisa.
huo ni wivuMadem utawaweza, Brazil walivyotolewa, Status za Madem wengi wasap ilikua
"Ohoooo Pole My Neymar"
"Jamaan Brazil why??"
Na ma blaaaa blaaaah kibao !!.
Juzi ya Akina mbapeee ,basi jamaa
"mbapeeee wanguuuu "
Na mbalaaa blaaaah.
Wasiwasi wangu nikama Demu wako nayeye ameingis kwenye mkumbo wa PICHA ZA MBAPE ,alopigwa akionekana mbooo imesimama.
Hivi Wanawake unawajua?? Unaweza Hisi anamsifia Kila Mara Kwa sababu kafunga magoli, la hashaa, ni Kwa sababu ya hiyo picha mitandao .
Cha kufanya ??
Muulize Baby, Mbape anachezea Klabu gan???? Akikujibu, "Ufaransa"...
Mpige economic sanctions yaaan NO MATUMIZI.....huyo Mbape aanze kumtunza !!
![]()






Kudadekiiii Hilo tu hahaha, unaambiwa Mazoez yake tu ananyanyua vitu vizito vyakilo mpaka 150Na hizi 100kg zangu naamini ananibeba vizuriš
Hahhaaa jamani balaaa .Madem utawaweza, Brazil walivyotolewa, Status za Madem wengi wasap ilikua
"Ohoooo Pole My Neymar"
"Jamaan Brazil why??"
Na ma blaaaa blaaaah kibao !!.
Juzi ya Akina mbapeee ,basi jamaa
"mbapeeee wanguuuu "
Na mbalaaa blaaaah.
Wasiwasi wangu nikama Demu wako nayeye ameingis kwenye mkumbo wa PICHA ZA MBAPE ,alopigwa akionekana mbooo imesimama.
Hivi Wanawake unawajua?? Unaweza Hisi anamsifia Kila Mara Kwa sababu kafunga magoli, la hashaa, ni Kwa sababu ya hiyo picha mitandao .
Cha kufanya ??
Muulize Baby, Mbape anachezea Klabu gan???? Akikujibu, "Ufaransa"...
Mpige economic sanctions yaaan NO MATUMIZI.....huyo Mbape aanze kumtunza !!
š¤£š¤£
Sasa jeeee, mie sio Mbappe wa ulaya, mpaka nikuache njiani š¤£š¤£š¤£š š š š šššNyieeeee wewweeee
Hahhaa jamaan Sasa wee waona haki, sijawah postiwa hata siku Moja.huo ni wivu![]()
Eehhh twenden pamoja tuš¤£Hahhaaa jamani balaaa .
Hatutupani kabisa kabisa.Ewaaaa siumeona Sasa ,sisi twaishi kijamaa, Huwa hatutupaniš¤£š¤£
Huyu ni kaka angu kama ndo hivoššKwa hiyo unataka kuunganisha nini?š¤£
Aone kitakachompata.Usijidanganyeš š
š¤£š¤£š¤£š¤£Jina tu laogopesha..ila anyway dume la nyani Huwa haliogopi umande.Hatutupani kabisa kabisa.
Sasa ww ntakupatia Dem mmoja anaitwa Ndoige
ššMhh ww mbona haunukii samli.Yaani huo ubariadi utazaa mengine Naona. Namie mama yangu anatokea bariadi huko nkololo jamani msinisahau namie Nina damu ya kubariadi
I saluteSasa jeeee, mie sio Mbappe wa ulaya, mpaka nikuache njiani š¤£š¤£š¤£
View attachment 2452445
Anavutia kweli ,wana michezo ,waigizaji wa Hollywood,Wacheza basket huwa wanavutia kutokana na miili yao ilivyo
We mwangalie alivyo aww
Huyu akijaribu kunikiss kabla hajafikia lips nishazimia kitambo




nimechekaMbappe akawadatisha wengi mwaka huu ..Eehhh twenden pamoja tuš¤£
Hakuna mwanamke atakae Iona hii picha akabakia salama Vila kuwaza ushenzi, labda mtoto. Mbappe umetutia majaribuniView attachment 2452445
Anavutia kweli ,wana michezo ,waigizaji wa Hollywood,Wacheza basket huwa wanavutia kutokana na miili yao ilivyo.