Mbaguzi Ismail Jussa Anapozidi kufunguka..

Naomba contacts details za Jussa (kwa mtu alie nazo) ili nimwambie njia rahisi ya kuipata zanzibar yake huru please!
 
Kama Chadema wanavyomchukia Jussa kuanzia mitaani, bungeni, mpaka JF.

Leo unamtetea Jussa, mara nape... siku nyingine Lipumba, wakati mwingine madiwani wa chadema waliofukuzwa... pia unamtetea sheh ponda

simply you are a pseudopodium in mankind .... very belated mindset
 
Ubaguzi au sio, HATUNA HAJA NA ZANZIBAR. Ni kama mwanamke kujihisi ni muhimu na anatakwa lakini ni hisia zake tu. Ninyi mnatakwa na CCM na sio Watanganyika. PERIOD.

Jussa, Ritz na wengine hebu toeni sababu kuu tatu (3) za ni kwanini mnadhani Tanganyika inaihitaji Z'bar. Nami nitakupa sababu kuu ni kwanini sisi Watanganyika hatuihitaji kabisa Z'bar.

Stop the murmurings. Do something and get your parasite state, you so deludedly want.
 
Mkuu asante kwa rekebisho hilo, ila hawezi tunyima usingizi labda pale tutakapoanza kudai Pemba yetu maana hakuana andiko lolote linaloonyesha ni lini tuliungana na Unguja.

Pasipo muungano hakuna zanzibar bali kutakuwa na unguja na pemba. Kila la kheri
 
Kama Chadema wanavyomchukia Jussa kuanzia mitaani, bungeni, mpaka JF.

Ismail jussa Ladhu amejipambanua kuwa ni mbaguzi mkubwa kwa kauli zake zenye misingi ya ubaguzi hasa wa kidini,binafsi siupendi muungano lakini kwa matamshi ya jussa nawahurumia wazanzibari wenye mtazamo tofauti na kina jussa especially wakristo.
Kwa mitizamo hii ya akina jussa hata ikitokea Zanzibar ikajitawala kwa kila kitu kamwe haitakuwa salama na msipoangalia mtakuwa zaidi ya Somalia
 
Mkuu asante kwa rekebisho hilo, ila hawezi tunyima usingizi labda pale tutakapoanza kudai Pemba yetu maana hakuana andiko lolote linaloonyesha ni lini tuliungana na Unguja.

Yeaah ni kweli hata sisi Wapemba hawatutendei haki hawa wa Unguja ---->uthibitisho angalia baadhi ya malalamiko ya Zanzibar kuhusu muungano ni sawa na mambo tunayofanyiwa Wapemba na pia mfano mdogo kupitia mgawanyo wa madaraka!
 
Maneno ya Jussa yako juu ya mstari wala hajakosea.Kama mtu kutetea utu wake na nchi yake ni ubaguzi basi wabaguzi tupo wengi. Tunajua fika Seif Ali Iddi ni Balozi wa Tanganyika nchini Zanzibar na Sheni na wenzake ni Vibaraka. Wazanzibar hatutoki kwenye mstari, tutasimama pale pale ''Jamuhuri Ya Watu Wa Zanzibar Kwanza''

naomba kuuliza swali .mbona wanzanzibar vinara wanao pigania kutokuwepo kwa muungano ni wa rangi mbili ama chotara wa kiarabu au wakihindi .why ??
 
Ubaguzi au sio, HATUNA HAJA NA ZANZIBAR. Ni kama mwanamke kujihisi ni muhimu na anatakwa lakini ni hisia zake tu. Ninyi mnatakwa na CCM na sio Watanganyika. PERIOD.

Jussa, Ritz na wengine hebu toeni sababu kuu tatu (3) za ni kwanini mnadhani Tanganyika inaihitaji Z'bar. Nami nitakupa sababu kuu ni kwanini sisi Watanganyika hatuihitaji kabisa Z'bar.

Stop the murmurings. Do something and get your parasite state, you so deludedly want.

Namuunga mkono Ronald Reagan 100%.
Hivi watanganyika tujiulize, tuna manufaa gani na Zanzibar? Afadhali hata Kenya na Uganda kuna volume kubwa ya biashara na interaction kati yetu hivyo kunufaika ki-uchumi? Zanzibar hawaishi ulalamishi na chokochoko such that they distract us from focusing on more important issues for Tanganyika. Imefika wakati tuwaache waende zao; they are like a boil on the neck..! what would we (40+ million people) have to lose from 1 million people? What economic, social or political benefits does Tanganyika get from Zbar?
Angalia linazuka kundi la UAMSHO, wanaleta fujo, etc na Tanganyika inakuwa-drawn into it, kisa Muungano; to hell with Muungano. Kama Zanzibar wanaamini they are better off outside the union, let them go, it will be a very big relief for us. But i believe that once Tanganyika leaves the Zbar scene; Unguja vs Pemba hostilities, Islamic fundamentalism (fuelled from outside) will move in and another Somalia will be born. Because the current move to cede Zbar from the Union is not propelled by politics but by islamic fundamentalism. This explains why UAMSHO a religious registered entity is on the forefront.
Mara Uamsho
 
Ubaguzi au sio, HATUNA HAJA NA ZANZIBAR. Ni kama mwanamke kujihisi ni muhimu na anatakwa lakini ni hisia zake tu. Ninyi mnatakwa na CCM na sio Watanganyika. PERIOD.

Jussa, Ritz na wengine hebu toeni sababu kuu tatu (3) za ni kwanini mnadhani Tanganyika inaihitaji Z'bar. Nami nitakupa sababu kuu ni kwanini sisi Watanganyika hatuihitaji kabisa Z'bar.

Stop the murmurings. Do something and get your parasite state, you so deludedly want.
Mkuu sababu ya kwanza ni Bahari secondly ni Mafuta na gesi hata kama kwenu yapo lakini bado waroho na tatu waambieni TRA wenu warudi kwenu sijui wanafanya nini kwetu najua utakuja na concept ya na wapemba wapo Danganyika lakini wao hata kama wapo hawauwi wala kuuza vinyago wanawaingizieni profit kubwa tuu na me nikuulize swali moja tuu Kwanini Wazanzibar ndio wanaotaka kutoka tuu kwenye hili dude la muungano lakini husikii kwa wadanganyaka hata mara moja kama kweli mumechoka na sisi na hamtutaki mukasema tutanaka kutoka na sisi.
 
Ismail jussa Ladhu amejipambanua kuwa ni mbaguzi mkubwa kwa kauli zake zenye misingi ya ubaguzi hasa wa kidini,binafsi siupendi muungano lakini kwa matamshi ya jussa nawahurumia wazanzibari wenye mtazamo tofauti na kina jussa especially wakristo.
Kwa mitizamo hii ya akina jussa hata ikitokea Zanzibar ikajitawala kwa kila kitu kamwe haitakuwa salama na msipoangalia mtakuwa zaidi ya Somalia

Vipi kauli ya Mtei dhidi ya Waislam kuhusu wajumbe wa tume ya katiba una maoni gani au wewe na Jussa tu.
 
Kwelitupu Lazima kumuunga mkono kwasababu ni nyie nyie hayo ya unayoyasema ww unataka politicians waseme nini na wao wanayojali marupu rupu yao halafu mtu akishachoka ndo inakua kila mtu lazima asimame na kutetea haki hii si kitu ya mtu moja moja ni ya watu wote halafu kuhusu wapemba na waunguja tuachieni sisi wenyewe nyinyi tukishatoka kwenye dubwana hili angalie tuu kama tutagombana ama tutauwana or we will have better life,it is up to us to decide not you guys tusaidie kutoka kwenye dubwana hili kama kweli huutaki muungano sio maneno tuu na kuongea
 
Last edited by a moderator:

Mkuu sababu ya kwanza ni Bahari secondly ni Mafuta na gesi hata kama kwenu yapo lakini bado waroho na tatu waambieni TRA wenu warudi kwenu sijui wanafanya nini kwetu najua utakuja na concept ya na wapemba wapo Danganyika lakini wao hata kama wapo hawauwi wala kuuza vinyago wanawaingizieni profit kubwa tuu na me nikuulize swali moja tuu Kwanini Wazanzibar ndio wanaotaka kutoka tuu kwenye hili dude la muungano lakini husikii kwa wadanganyaka hata mara moja kama kweli mumechoka na sisi na hamtutaki mukasema tutanaka kutoka na sisi.

Bahari ipi? Mna eneo la asilimia ngapi mpaka Tanganyika iwahitaji?
Mafuta, hivi ninyi mnatoa aina gani ya mafuta na ina mchango gani kwenye uchumi wenu?
Gesi, kama hapo juu.

Tanganyika itarudi kisha nanyi mtaona kama ni sisi au CCM waliokuwa wanawahitaji. Unajua parasite? Unajua free-riders basi Z'bar inafanana sana navyo.
 
Namuunga mkono Ronald Reagan 100%.
Hivi watanganyika tujiulize, tuna manufaa gani na Zanzibar? Afadhali hata Kenya na Uganda kuna volume kubwa ya biashara na interaction kati yetu hivyo kunufaika ki-uchumi? Zanzibar hawaishi ulalamishi na chokochoko such that they distract us from focusing on more important issues for Tanganyika. Imefika wakati tuwaache waende zao; they are like a boil on the neck..! what would we (40+ million people) have to lose from 1 million people? What economic, social or political benefits does Tanganyika get from Zbar?
Angalia linazuka kundi la UAMSHO, wanaleta fujo, etc na Tanganyika inakuwa-drawn into it, kisa Muungano; to hell with Muungano. Kama Zanzibar wanaamini they are better off outside the union, let them go, it will be a very big relief for us. But i believe that once Tanganyika leaves the Zbar scene; Unguja vs Pemba hostilities, Islamic fundamentalism (fuelled from outside) will move in and another Somalia will be born. Because the current move to cede Zbar from the Union is not propelled by politics but by islamic fundamentalism. This explains why UAMSHO a religious registered entity is on the forefront.
Mara Uamsho

Hawa jamaa wamelemezwa na CCM, hawaishi ktk ulimwengu halisi wanaishi ndotoni. Wanajua wanachohitaji kuuvunja huo muungano usio na tija zaidi ya unafiki na mzigo upande wa Tanganyika.

Z'bar tafadhali vunjeni muungano mchukue kila kitu mnachodhani ni chenu. Tumewachoka na kelele, manung'uniko, karaha, ukupe na uzuzu. Please go!
 
Jussa aje hapa atuambie ufadhili wa CCM kwa CUF sasa ni asilimia ngapi?

Hii ni mbaya sana maana undumilikuwili umekuwa ni sifa muhimu ktk siasa uchwara za Tanzania
 
Kwelitupu Lazima kumuunga mkono kwasababu ni nyie nyie hayo ya unayoyasema ww unataka politicians waseme nini na wao wanayojali marupu rupu yao halafu mtu akishachoka ndo inakua kila mtu lazima asimame na kutetea haki hii si kitu ya mtu moja moja ni ya watu wote halafu kuhusu wapemba na waunguja tuachieni sisi wenyewe nyinyi tukishatoka kwenye dubwana hili angalie tuu kama tutagombana ama tutauwana or we will have better life,it is up to us to decide not you guys tusaidie kutoka kwenye dubwana hili kama kweli huutaki muungano sio maneno tuu na kuongea

Kugombana ni lazima tu baadae kwa sababu mume tudhulumu kitanbo tu nasisi utafika muda tutawapa ukweli tu kwa sababu jambo la kushangaza rasilimali nyingi tunatoa sisi Pemba lakin hatuon mabadiliko kila siku inang'ara Unguja tu tuanze na haya yafuatayo:-
1)Bandari...bandari iliopo Mkoani Pemba ata Kontena tatu sifkirii kama zinaweza kukaa pale katika gati,halikadhalika katika Airport yetu kule Furaha Pemba lakini je hali hii ni sawa na Unguja?
2)Pemba hakuna nyumba ya Wazir wala Naibu Waziri hata mmoja na hao mabalozi watatu walonao Unguja ata mmoja sisi hatuna cha kushangaza visiwa viwil ndo vimeunda Zanzibar
3)Mgawanyo wa madaraka...kwa uangalizi wa ghafla basi unagundua kama nafasi nyingi za juu za uongozi zinashikiliwa na Unguja kuanzia na makatibu,wakurugenzi na vikosi vyote vya ulinzi
3)Elimu...hapa ndo wanabugi stepu kabisa kwa sababu Pemba kumeletwa tawi la SUZA huu mwaka huu miez 3 nyuma nafkir lakin kabla ya hapo huku kulkuwa na vyuo vya ualimu tu na OPEN UNV tu je Unguja kuna vyuo vingap je serikal haion haja ya kuekeza Pemba ama hakuna wasomi?
Tutafakar hayo tu kwanza ni mawazo tu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom