Mbaguzi Ismail Jussa Anapozidi kufunguka..

Jusa anafany kinachotushinda wengi..... yeye sio mnafiki, ana uwezo na uthubutu

mimi sipendi zanzibar iwe kwenye muungano, napenda zainzibar kama leisure destination tu

mfumo uliopo unawafanya wawe wavivu, wanatucost tu na hawana chochote cha ziada ambacho ni lazima tuwe nao kwenye muungano. wakiwa huru wataenda mbaili zaidi, watatuheshimu zaidi, watatupenda zaidi na mimi ntapenda zaidi kwenda zanzibar kutembea

SIUPENDI MUUNGANO KWA MOYO WANGU WOTE, LAKINI NAWAPENDA WAZANZIBARI NA UTU WAO.... MUUNGANO UNAWAMALIZA, UNAWANYIMA NAFASI, NA PIA UNATUNYAMAZISHA NA KUTUNYIMA MAFASI KAMA TANZANIA BARA KUFANYA MAMBO YETU..... MUUNGANO UMEKUA NDOA YA MITALA

WAUVUNJE TU, TUENDE ZANZIBAR KWA PASSPORT, LABA HESHIMA ITARUDI

Nakubaliana wewe, muungano huu ni gharama kwetu wa bara, Wanzibari ni ndugu zetu lakini Muungano huu ni laana kwetu
 
Maneno ya Jussa yako juu ya mstari wala hajakosea.Kama mtu kutetea utu wake na nchi yake ni ubaguzi basi wabaguzi tupo wengi. Tunajua fika Seif Ali Iddi ni Balozi wa Tanganyika nchini Zanzibar na Sheni na wenzake ni Vibaraka. Wazanzibar hatutoki kwenye mstari, tutasimama pale pale ''Jamuhuri Ya Watu Wa Zanzibar Kwanza''

mnachoshindwa kujitoa ni nini?
 
Mkuu asante kwa rekebisho hilo, ila hawezi tunyima usingizi labda pale tutakapoanza kudai Pemba yetu maana hakuana andiko lolote linaloonyesha ni lini tuliungana na Unguja.

neno hilo..... free pemba.....loh
 
Maneno ya Jussa yako juu ya mstari wala hajakosea.Kama mtu kutetea utu wake na nchi yake ni ubaguzi basi wabaguzi tupo wengi. Tunajua fika Seif Ali Iddi ni Balozi wa Tanganyika nchini Zanzibar na Sheni na wenzake ni Vibaraka. Wazanzibar hatutoki kwenye mstari, tutasimama pale pale ''Jamuhuri Ya Watu Wa Zanzibar Kwanza''
Sijui wanachelewa nini kuwapa hiyo Zanzibar yenu. Maana mnatamani sana kuanza kugawana kikoo kama Somalia.
Nchi iwe moja Tanzania. Mkikataa Muondoke na Kisiwa chenu. Tuna visiwa vingi tu hata Ukerewe.
 
Kugombana ni lazima tu baadae kwa sababu mume tudhulumu kitanbo tu nasisi utafika muda tutawapa ukweli tu kwa sababu jambo la kushangaza rasilimali nyingi tunatoa sisi Pemba lakin hatuon mabadiliko kila siku inang'ara Unguja tu tuanze na haya yafuatayo:-
1)Bandari...bandari iliopo Mkoani Pemba ata Kontena tatu sifkirii kama zinaweza kukaa pale katika gati,halikadhalika katika Airport yetu kule Furaha Pemba lakini je hali hii ni sawa na Unguja?
2)Pemba hakuna nyumba ya Wazir wala Naibu Waziri hata mmoja na hao mabalozi watatu walonao Unguja ata mmoja sisi hatuna cha kushangaza visiwa viwil ndo vimeunda Zanzibar
3)Mgawanyo wa madaraka...kwa uangalizi wa ghafla basi unagundua kama nafasi nyingi za juu za uongozi zinashikiliwa na Unguja kuanzia na makatibu,wakurugenzi na vikosi vyote vya ulinzi
3)Elimu...hapa ndo wanabugi stepu kabisa kwa sababu Pemba kumeletwa tawi la SUZA huu mwaka huu miez 3 nyuma nafkir lakin kabla ya hapo huku kulkuwa na vyuo vya ualimu tu na OPEN UNV tu je Unguja kuna vyuo vingap je serikal haion haja ya kuekeza Pemba ama hakuna wasomi?
Tutafakar hayo tu kwanza ni mawazo tu
Naona mmeanza kugawanyika bado hamjavunja muungano. Unajua kwanini Tanzania tunaoga kuacha Zanzibar ijitenge? Kwa sababu tunaogopa kupokea wakimbizi kutoka Zanzibar siku mkianza usomali. Na pia tunaogopa pale uamsho watakapokuwa Alshaabab.
 
Ukweli siipendi CCM lakini naamini CUF ni tishio kwa umoja wa wanzanzibari kuliko CCM. Tuache uongo hakuna utawala ambao una waislamu wengi unaodumu kwenye demokrasi muda mrefu. Ukileta demokrasi kwa hawa ndugu zetu manake unataka watu wagawanyike na waanze vita. Sasa, kwa kuwa Zanzibar watajitenga kutoka Tanzania wakiwa wademokrasi itakuwa ni hatari kubwa kwao. Wakitaka watulie kuwepo tu na utawala wa kiimla utakaotuliza mizuka ya fujo za hawa wenzetu. CUF itaivuruga Zanzibar kuliko tunavoiona CCM kule.
Binafsi naaminni Maalim Seif anastahili kuwa kiongozi wa Zanzibar kwa kuwa anashinda chaguzi zote lakini kwa upande wa pili naona tishio la kuivuruga Zanzibar na migawanyiko kuliko tunavofikiri. Hii ni kwa kuwa lazima kutakuwa na makundi ambayo hayotopenda kutofungamana na Tanganyika kwa upande wa pili kutakuwa na makundi yatakayotaka Zanzibar ifungamane zaidi na nchi za kiislamu na Uislamu. Matokeo yake unaweza kubashiri.
 
Ukweli siipendi CCM lakini naamini CUF ni tishio kwa umoja wa wanzanzibari kuliko CCM. Tuache uongo hakuna utawala ambao una waislamu wengi unaodumu kwenye demokrasi muda mrefu. Ukileta demokrasi kwa hawa ndugu zetu manake unataka watu wagawanyike na waanze vita. Sasa, kwa kuwa Zanzibar watajitenga kutoka Tanzania wakiwa wademokrasi itakuwa ni hatari kubwa kwao. Wakitaka watulie kuwepo tu na utawala wa kiimla utakaotuliza mizuka ya fujo za hawa wenzetu. CUF itaivuruga Zanzibar kuliko tunavoiona CCM kule.
Binafsi naaminni Maalim Seif anastahili kuwa kiongozi wa Zanzibar kwa kuwa anashinda chaguzi zote lakini kwa upande wa pili naona tishio la kuivuruga Zanzibar na migawanyiko kuliko tunavofikiri. Hii ni kwa kuwa lazima kutakuwa na makundi ambayo hayotopenda kutofungamana na Tanganyika kwa upande wa pili kutakuwa na makundi yatakayotaka Zanzibar ifungamane zaidi na nchi za kiislamu na Uislamu. Matokeo yake unaweza kubashiri.

unajichanganya sana mkuu wangu,kama mtu anashinda kila chaguzi basi huyo ndiye chaguo la Wazanzibari,sasa mambo ya udini yanatoka wapi? waende zao bwana,wakichinjana poa,wakiamua kuishi kwa amani poa!
 
Bahari ipi? Mna eneo la asilimia ngapi mpaka Tanganyika iwahitaji?
Mafuta, hivi ninyi mnatoa aina gani ya mafuta na ina mchango gani kwenye uchumi wenu?
Gesi, kama hapo juu.

Tanganyika itarudi kisha nanyi mtaona kama ni sisi au CCM waliokuwa wanawahitaji. Unajua parasite? Unajua free-riders basi Z'bar inafanana sana navyo.




Ile muloenda kuomba UN aama umesahau mkuu halafu parasite nawajua ndo kama tanganyika inasema imekufa halafu inakula nyuma ya mgongo halafu sisi munatubeba kwa lipi nyinyi watu
 
Kama vipi tuachane kwa usalama isiwe tabu kila siku manung'uniko mapya yasiyoisha.
 
Zanzibar imerififisha taifa letu Tanganyika, if zanzibar goes then I'll be might happy to welcome my Tanganyika back.
 
Kugombana ni lazima tu baadae kwa sababu mume tudhulumu kitanbo tu nasisi utafika muda tutawapa ukweli tu kwa sababu jambo la kushangaza rasilimali nyingi tunatoa sisi Pemba lakin hatuon mabadiliko kila siku inang'ara Unguja tu tuanze na haya yafuatayo:-
1)Bandari...bandari iliopo Mkoani Pemba ata Kontena tatu sifkirii kama zinaweza kukaa pale katika gati,halikadhalika katika Airport yetu kule Furaha Pemba lakini je hali hii ni sawa na Unguja?
2)Pemba hakuna nyumba ya Wazir wala Naibu Waziri hata mmoja na hao mabalozi watatu walonao Unguja ata mmoja sisi hatuna cha kushangaza visiwa viwil ndo vimeunda Zanzibar
3)Mgawanyo wa madaraka...kwa uangalizi wa ghafla basi unagundua kama nafasi nyingi za juu za uongozi zinashikiliwa na Unguja kuanzia na makatibu,wakurugenzi na vikosi vyote vya ulinzi
3)Elimu...hapa ndo wanabugi stepu kabisa kwa sababu Pemba kumeletwa tawi la SUZA huu mwaka huu miez 3 nyuma nafkir lakin kabla ya hapo huku kulkuwa na vyuo vya ualimu tu na OPEN UNV tu je Unguja kuna vyuo vingap je serikal haion haja ya kuekeza Pemba ama hakuna wasomi?
Tutafakar hayo tu kwanza ni mawazo tu

uko sawa mkuu hebu linganisha Karume Airport Pemba na airport ya Unguja Fidel Castro secondary na Haile Sellasie Unguja Ukumbi wa baraza la wawakilishi uliopo Wete Pemba na ule wa Unguja Pemba ilikuwa na vyuo viwili vya ualimu Kengeja na Wete sijui kwa sasa.
Bila usawa wakiuchumi kati ya visiwa hivi hakuna umoja wa kitaifa wala zanzibar salama hata kama Shein akitwala miaka 30
 
Huyu porojo tu, natamani nimwone nimuulize kwanini walimtukana Lissu na Chadema wanaotaka kura ya maoni kuamua mustakabali wa ZnZ? Natamani siku moja iwe nchi ili tukienda huko tupewe Per Diems za dollar, ha ha ha
 
Nimesoma bandiko la Ismail Jussa sijaona ubaguzi wowote zaidi ya kutetea Zanzibar yao kama sisi tunavyotetea Tanganyika yetu, mleta huu uzi naomba kukuuliza Tundu Lissu naye ni mbaguzi. Alichokisema Jussa ndio alichokisema Lissu.

Tofauti ni kwamba Lissu anatumia lugha ya staha wakati Jussa anatiririka na matusi (kama alivyomtukana Sitta) Lissu kamtukana nani? Jussa ni kama mke mdogo, akiona mkubwa kaletewa zawadi anawaka wakati juzi yake alipokea zigo la mazawadi kama umeme wa bure na kugharimiwa mahitaji kibao. Na wewe mkamwana sio mtanganyika, danganya wala urojo wenzako. Wabongo hatuongei kama wewe
 
Duh..Zanzibar ikiwa jamhuri inayojitegemea sijui Jussa itakuwaje? Maana navyofahamu na yeye sio Mzanzibar! Dhambi ya kuwabagua watanzania wa bara nae itamtafuna tu hana ujanja!
 
Back
Top Bottom