ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,529
Wewe uporo hahahahaNdio vipaji tuliopewa na mungu waafrika tuvitumie,hapo ulipo unataka kuwa na kiwanda wakati hauna akili,ungekuwa na akili ungekuwa ata na kiwanda chakutengenezea icecream nyumbani kwako kutumia ka deepfreeza kako, utamaduni wetu sisi ni ngoma na kutiana sababu uwezo tunao na nia tunayo viwanda vyetu sisi vipo kiunoni tuvitumie.
We acha tu uwiii