Mbabe SATANA alikufa au bado yu hai?

Mbabe SATANA alikufa au bado yu hai?

Baada ya kipondo kule mwabepande alikuwa dhaifu kimwili.....ponapona yke kule alijifanya kafa
Ila mjomba alikuja umwaa
Walimvunjavunja sana....
Raia kule walitoka na mikuki magobole mapanga mbwa etc si mchzo ilikuwa
Wababe wengi walikalishwa

Ova
hili sekeseke alikufa pia baunsa wa zakhem pub maarufu anakiffua kipana mwilimkubwa wanamwita dabo difu. raia ni hatari kuna mtoto hapa kitaa wiki iliyopita raia wamemkausha akitoa panga halirudi anakaba hadi wazazi.
 
Na nyumba yao ishauzwa
Enzi hzo Tukitoka safari mtu mdundo mkbwa cheni kbwa Hawa jamaa licha kujuana walikuwa wanakutamani
Aise mdg wake Bob Chopa alikuwa mtata sana ila alikuwa ananikubali kwa ajili ya mpira ilikuwa akiwa na mechi anatufta kiubabe tuchezee timu yao
Uwanjani hakawi kuingia na kinyesi

Ova
 
Enzi hzo Tukitoka safari mtu mdundo mkbwa cheni kbwa Hawa jamaa licha kujuana walikuwa wanakutamani
Aise mdg wake Bob Chopa alikuwa mtata sana ila alikuwa ananikubali kwa ajili ya mpira ilikuwa akiwa na mechi anatufta kiubabe tuchezee timu yao
Uwanjani hakawi kuingia na kinyesi

Ova
Chopa ana beba ndoo ya mavi anakuja uwanjani, Kuna siku alimpiga nondo bro wake Chura meno ya kang'oka.
 
Kama kipindi hicho alikuwa na miaka ishirini na tano, hadi leo ni kwamba atakuwa na miaka hamsini, nahisi upara utakuwa umeenea kichwa kizima huku nywele zake za kwapani zikiwa zimejaa mvi.
Ubabe kwishney
Hapana. Kwa muda huu atakuwa na miaka 63, kama mwaka 1980 alikuwa na miaka 25!
 
Alikuwepo na Cool 9 pia, huyu alikuwa noma sana, miaka ya tisini hiyo, walikuwepo watu wanajiita KIBOKO MSHELI nao walikuwa wanatisha sana, sasa hivi yupo jamaa anaitwa IDDI BONGE huyu ndo kanjanja wa watoto wa kihuni wote wanao fanya shughuli zao za kihuni kuanzia Ubungu, Magomeni yote, Manzese, Kinondoni, Ilala na Mburahati. Jamaa ni kwere!

Huyu IDDI BONGEni wa kipindi hiki tulichonacho? Vipi mechi yake ukimkutanisha na Scorpion? Nijulishe ili niwasiliane na Scorpion mara moja!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom