mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 94,071
- 132,535
Mbabe Bob chura mbavu nene
Ila kuna Tukio moja la kwenda wanamia kuwahamisha wa kazi miaka fulani ilikuwa Bunju kama skosei jamaa anayedai mwenye eneo na kampuni ya udalali waliwakusanya wababe na mabaunsa wakaenda hko ila walichokutana nacho hko walupigwa wengine walipoteza maisha
Chura ponapona yake walimgonga vunjavunja tangu siku hyo akawa dhaifu.....
Ukikutana naye anakwambia mjombaa ubabe usimfanyie raiaa
Raiaa hafai
Ova
Ila kuna Tukio moja la kwenda wanamia kuwahamisha wa kazi miaka fulani ilikuwa Bunju kama skosei jamaa anayedai mwenye eneo na kampuni ya udalali waliwakusanya wababe na mabaunsa wakaenda hko ila walichokutana nacho hko walupigwa wengine walipoteza maisha
Chura ponapona yake walimgonga vunjavunja tangu siku hyo akawa dhaifu.....
Ukikutana naye anakwambia mjombaa ubabe usimfanyie raiaa
Raiaa hafai
Ova