Clarity
JF-Expert Member
- Jul 6, 2010
- 1,939
- 2,847
na cool nine je..mnamkumbuka wadau?? nafkiri huyu ndo mbabe maarufu sana
Utakuwa umekaa Iringa miaka hiyo maana huyo ulomtaja alitesa sana enzi hizo
na cool nine je..mnamkumbuka wadau?? nafkiri huyu ndo mbabe maarufu sana
Utakuwa umekaa Iringa miaka hiyo maana huyo ulomtaja alitesa sana enzi hizo
Kama kipindi hicho alikuwa na miaka ishirini na tano, hadi leo ni kwamba atakuwa na miaka hamsini, nahisi upara utakuwa umeenea kichwa kizima huku nywele zake za kwapani zikiwa zimejaa mvi.Kwa wanaokumbuka miaka ya 80 kulikua na bwana akiitwa Santana. Huyu jamaa alikua mbabe sana akicheza karate. Kutwa nzima akishinda stendi za mabasi sanasana kituo cha manzese (msufini). Akiamua aliweza kupora chochote pasipo kufanywa chochote. Kuna wakati alisaidia wanafunzi kuingia kwenye mabasi makonda wakimuogopa kwelikweli. Ni zaidi ya miaka 25 sijamsikia tena
Kwa wanaokumbuka miaka ya 80 kulikua na bwana akiitwa Santana. Huyu jamaa alikua mbabe sana akicheza karate. Kutwa nzima akishinda stendi za mabasi sanasana kituo cha manzese (msufini). Akiamua aliweza kupora chochote pasipo kufanywa chochote. Kuna wakati alisaidia wanafunzi kuingia kwenye mabasi makonda wakimuogopa kwelikweli. Ni zaidi ya miaka 25 sijamsikia tena
Njoo tupige game siku hizi nipo fit sana lazima nikukalishe
mkuu game zipo nyingi weka wazi unamanisha ipi...tehe tehe teheeee
Mbabe toka manzese hyo ila aliyakanyaga kwa wachinaKitambo sana mwanangu Santana
Leo jioni nataka nikapige misele Manzese saa 2 hiviMbabe toka manzese hyo ila aliyakanyaga kwa wachina
Alafu kulikuwa na mbabe mmoja anaitwa wandiba
Kulikuwa na mbabe mmja anaitwa juma ndedere
Kulikuwa na mbabe mmoja alikuwepo pia enzi hzo anaitwa stiba Dah Umenikumbusha longtime watu Hawa
Ova
Dah kitambo sana mitaa hyoLeo jioni nataka nikapige misele Manzese saa 2 hivi
DahDah kitambo sana mitaa hyo
Santana alimkalishaga stiba leaders way back
Wandiba alikuwa mlinzi wa wasanii wanaotoka kongo ila alikufaga aliyakwaa
Ova
Huyo Santana wako ni feki.
Nikifikiri unaongea Carlos Santana- the Great.
Ni wa siku nyingi sana na rekodi yake moja itakayokuacha hoi ni- Black Magic Woman


Santana alimkimbiaga sensei mawalla
Ah wa babe wakina Paul sizavijana wa siku hizi(millennials), wanashinda gym kufanya mazoezi ili wawe na vifua vipana vya kuvutia wasichana kimapenzi.
enzi zetu vifua vipana vilikuwa vinaendana na utemi, ubabe sambamba na kuwa mtu wa msimamo thabiti.
Ayubu mpuz tu miguvu yote ile Unga umemmaliza ila naye aliyakanyaga kwa mshikaji mmja anaitwa Razak alichezeaAkina Dame