MBA za Mzumbe, nazo ni zakujivunia?

Wiyelelee

JF-Expert Member
Nov 9, 2012
1,071
347
Nimesoma hapa kwenye thread ambapo NAPE anatamba kwamba ana MPA ya Mzumbe. Huwa nacheka sana nikiona mtu anaetamba kwamba ana MBA au MPA ya Mzumbe. Nacho ni cheti cha kujivunia? Nilianza masters yangu pamoja na mtu wa MBA Mzumbe. Ndani ya miezi 6 yeye akasema amemaliza!

Kwa kifupi, tulianza October, 2009. Yeye May 2010 alisema wamemaliza course work na anafanya research. November aka graduate wakati mimi nikawa nimeingia second year ya Masters yangu. Nilimaliza couse work in 2011 May-June na nikafanya utafiti wangu na ku graduate Nov 2011.

Sasa mtu akitamba mbele yangu kwamba ana MBA ya Mzumbe nacheka sana maana ndo elimu ya NAPE! Usicheze na Masters. najua wengi waliosoma Mzumbe wamekasirika lakini ukweli ndo huo.
 
Nadhani ana MPA (Master of Public Administration) na sio MBA (Master of Business Administration).
 
Nadhani ana MPA (Master of Public Administration) na sio MBA (Master of Business Administration).

Asante kwa kunisahihisha Mkuu. Hata kama ni hiyo MPA bado ni ya miezi 6!
 
Nimesoma hapa kwenye thread ambapo NAPE anatamba kwamba ana MBA ya Mzumbe. Huwa nacheka sana nikiona mtu anaetamba kwamba ana MBA ya Mzumbe. Nacho ni cheti cha kujivunia? Nilianza masters yangu pamoja na mtu wa MBA Mzumbe. Ndani ya miezi 6 yeye akasema amemaliza!

Kwa kifupi, tulianza October, 2009. Yeye May 2010 alisema wamemaliza course work na anafanya research. November aka graduate wakati mimi nikawa nimeingia second year ya Masters yangu. Nilimaliza couse work in 2011 May-June na nikafanya utafiti wangu na ku graduate Nov 2011.

Sasa mtu akitamba mbele yangu kwamba ana MBA ya Mzumbe nacheka sana maana ndo elimu ya NAPE! Usicheze na Masters. najua wengi waliosoma Mzumbe wamekasirika lakini ukweli ndo huo.

Mzumbe ni DANGURO la elimu...

Nilisoma Master's na watu waliosoma Undergraduate Mzumbe mwaka 2008 wakati wa mitihani jamaa walikuwa wanajipanga kama mapopo ili waangaliziane,,, wao wana msemo wanaita MIG yaani kuingia na kila aina ya makorokoro ya kuangaliziana.
Hata hizo Thesis zao kuna watu huwa wanawafanyia kwa laki nne (400,000),, nikababatika hadi KUMJUA aliyemfanyia Nape Nnauye thesis.

Elimu hii ya magumashi hawa maCCM wanataka tusiweze kumudu soko la ajira?? Hakuna mtu anachukua hatua wakati hali ni mbaya. Elimu ya kuingia na makaratasi kwenye mitihani haiwezi kuondoa umaskini wa nchi yetu
 
Huna lolote wewe unaangalia muda badala mataala wa hiyo master ndo napata wasiwasi na akili zako.Wewe kwako muda wa kumaliza ndo kitu cha kuangalia.Kwa kifupi rudi darasani hujaelimika bado
 
Nimesoma hapa kwenye thread ambapo NAPE anatamba kwamba ana MPA ya Mzumbe. Huwa nacheka sana nikiona mtu anaetamba kwamba ana MBA au MPA ya Mzumbe. Nacho ni cheti cha kujivunia? Nilianza masters yangu pamoja na mtu wa MBA Mzumbe. Ndani ya miezi 6 yeye akasema amemaliza!

Kwa kifupi, tulianza October, 2009. Yeye May 2010 alisema wamemaliza course work na anafanya research. November aka graduate wakati mimi nikawa nimeingia second year ya Masters yangu. Nilimaliza couse work in 2011 May-June na nikafanya utafiti wangu na ku graduate Nov 2011.

Sasa mtu akitamba mbele yangu kwamba ana MBA ya Mzumbe nacheka sana maana ndo elimu ya NAPE! Usicheze na Masters. najua wengi waliosoma Mzumbe wamekasirika lakini ukweli ndo huo.
Ujanja siyo kwamba una master ya wapi na umeipata muda gani.Ujanja ni kupata na kufikia malengo yako ya kile unachokitafuta.Sasa wewe uliyesoma miaka miwili mbona hata huna umaarufu wowote na hiyo master yako sijui ya wapi unayoringia nayo imekusaidia nini.Acheni wivu
 
EMPTY MIND NEVER REASON, BUT STUPID MIND DWELL IN STUPID REASONS....mlianza elim ya mnyika, mkaja ya nape sasa Mzumbe????i dought izo masters zenu mnazosema mnazo....
 
Mzumbe ni DANGURO la elimu...

Nilisoma Master's na watu waliosoma Undergraduate Mzumbe mwaka 2008 wakati wa mitihani jamaa walikuwa wanajipanga kama mapopo ili waangaliziane,,, wao wana msemo wanaita MIG yaani kuingia na kila aina ya makorokoro ya kuangaliziana.
Hata hizo Thesis zao kuna watu huwa wanawafanyia kwa laki nne (400,000),, nikababatika hadi KUMJUA aliyemfanyia Nape Nnauye thesis.

Elimu hii ya magumashi hawa maCCM wanataka tusiweze kumudu soko la ajira?? Hakuna mtu anachukua hatua wakati hali ni mbaya. Elimu ya kuingia na makaratasi kwenye mitihani haiwezi kuondoa umaskini wa nchi yetu
Sema na wewe umesoma undergraduate chuo gani japo mimi sijasoma Mzumbe ila elimu ya Vyuo vikuu Bongo naijua ilivyo
 
Huna lolote wewe unaangalia muda badala mataala wa hiyo master ndo napata wasiwasi na akili zako.Wewe kwako muda wa kumaliza ndo kitu cha kuangalia.Kwa kifupi rudi darasani hujaelimika bado

Kwa hiyo kuna mitaala inayomuwezesha mtu kuhitimu Masters Degree kwa miezi sita tu? Hata Executive Masters Degree haiwi hivyo.
 
Sema na wewe umesoma undergraduate chuo gani japo mimi sijasoma Mzumbe ila elimu ya Vyuo vikuu Bongo naijua ilivyo
Nimesoma chuo ambacho ukikamatwa na makaratasi unaaga mwenyewe kwenda home maana mwisho wa semister lazima wanakukula kichwa. Kinaheshimika sana hapa nchini,,, nyie mzumbe na maMIG yenu ndio mnaitia aibu elimu ya Tanzania. Kuna jamaa alihamishwa kwenye mtandao akaugua ghafla na kutapika juu. Mzumbe sio chuo bali ni DANGURO la elimu
 
Elimu ni uwezo sio cheti,,, bill gates, michael dell, Tuner, Ford etc hawana degree wala nini but they effect the world..


Tukija bongo Mohamed Dewji went to IST then Georgetown university the same Class with Allen iverson na karudi bongo kaibadilisha Mohamed enterprises annual turn over na kukimbiza mbaya,,,Ruge Mutahaba kaenda zake San diego state university karudi zake bongo na kusaga wakaanzisha Clouds cheki walipofika hawakuwaza kuajiriwa,, Emelda Mwamanga went to University of Cape town karudi bongo anafanya makubwa, Kevin Twissa kapiga zake marketing Degree Ohio huko anafanya mambo makubwa mshahara around million 20, abdalah Shelukindo Dstv na wengineo kibao hawa ndio wana elimu tofauti na kina sisi,,

Elimu za bongo zinafanana tukatae tukubali,, umaskini ndo utatufanya tubishane but Mzumbe, udsm, Saut ni almost the same...

Mama yangu aliniambia hata usome vipi Tanzania bila kwenda kuiosha elimu yako kwenye vyuo vya Majuu bado haujaelimika..

So msichekane kuhusu Masters za Tanzania hazina tofauti zaidi ya kutaka kuleta mabishano tu humu
 
Huu ni uzuzu wa kutojua mifumo ya elimu kwa kudhani kwamba kile unachojua wewe ni universal. Unapaswa kufunguka na kufanya utafiti kabla ya kutoa maoni ambayo mbele critical thinkers yatakuwa na mashiko.

Hoja ya nape elimu ya Nape ina mlengo wa kisiasa zaidi kuliko kitaaluma. I must admit mimi sijawahi kupendezwa na Sera na uozo wa Nape na CCM yake. But for this case, I must be impartial, and rational. Kuna hoja ambazo lazima kuzichambua kwa umakini ili tuwe objective.

Kwanza, tazama, Nape ana MPA na sio MBA lakini cha ajabu, mleta uzi anadiriki kumvisha kofia aliyoichafua ya MBA Bwana Nape mwenye MPA. Sasa sijui tujadili MBA au MPA.

Mbili mleta uzi hajafanya utafiti wa kina kuhusu Master's programmes za Mzumbe. Maswali kama vile, Je? prpgrammes hizo zinachukua muda gani tangu mtu adahiliwe mpaka kumaliza. Je? mfumo huo una tafauti gani na vyuo vingine hapa TZ, na tofauti hizo ni zipi, na kama kuna tafauti ni kwa nini kuna tofauti. Kama tofauti zipo basi kuna athari gani katika ubora wa kitaaluma zitokanazo na tofauti hizo.

Je mfumo unaotumika Mzumbe kama upo tofauti, umepata ithibati yoyote na vyombo husika vyenye mamlaka? Je kuna modal yoyote duniani katika mfumo unaotumika Mzumbe?

Kama mtu akifanya uchunguzi kidogo tu, atabaini kwamba Mzumbe wanatoa Master's programme kwa miezi 18 yaani three academic semisters. Semester mbili za Course Work na semester 1 kwa ajili ya Dissertation. Hata Uingereza, vyuo vilivyo vingi, masters ni miezi 12 tu na si zaidi. Miezi 9 course work na 3 dissertation. Sasa sijui mleta uzi umetumia best practice ya nchi zipi. Ingawaje ni ukweli kwamba kuna nchi nyingine wanafanya masters miezi 24 hadi 48 depending on the nature of the course.

Mawazo ya kudhani ubora unatokana na duration. Katika hili sipendi kumung'unya maneno, huo ni umbumbumbu kweli kweli. Unapaswa kufunguka na kutoka nje ya box.

Sina ushirika wa kimtazamo na kiitikadi na bwana Nape, lakini katika hili lazima niwe impartial na more objective.


Nimesoma hapa kwenye thread ambapo NAPE anatamba kwamba ana MPA ya Mzumbe. Huwa nacheka sana nikiona mtu anaetamba kwamba ana MBA au MPA ya Mzumbe. Nacho ni cheti cha kujivunia? Nilianza masters yangu pamoja na mtu wa MBA Mzumbe. Ndani ya miezi 6 yeye akasema amemaliza!

Kwa kifupi, tulianza October, 2009. Yeye May 2010 alisema wamemaliza course work na anafanya research. November aka graduate wakati mimi nikawa nimeingia second year ya Masters yangu. Nilimaliza couse work in 2011 May-June na nikafanya utafiti wangu na ku graduate Nov 2011.

Sasa mtu akitamba mbele yangu kwamba ana MBA ya Mzumbe nacheka sana maana ndo elimu ya NAPE! Usicheze na Masters. najua wengi waliosoma Mzumbe wamekasirika lakini ukweli ndo huo.
 
Ifike mahali watanzania tukae chini na kuambiana elimu ni nini? Naona katika swala hili la elimu, ufaulu na vyuo tunaanza kupotea...
 
Elimu ni uwezo sio cheti,,, bill gates, michael dell, Tuner, Ford etc hawana degree wala nini but they effect the world..


Tukija bongo Mohamed Dewji went to IST then Georgetown university the same Class with Allen iverson na karudi bongo kaibadilisha Mohamed enterprises annual turn over na kukimbiza mbaya,,,Ruge Mutahaba kaenda zake San diego state university karudi zake bongo na kusaga wakaanzisha Clouds cheki walipofika hawakuwaza kuajiriwa,, Emelda Mwamanga went to University of Cape town karudi bongo anafanya makubwa, Kevin Twissa kapiga zake marketing Degree Ohio huko anafanya mambo makubwa mshahara around million 20, abdalah Shelukindo Dstv na wengineo kibao hawa ndio wana elimu tofauti na kina sisi,,

Elimu za bongo zinafanana tukatae tukubali,, umaskini ndo utatufanya tubishane but Mzumbe, udsm, Saut ni almost the same...

Mama yangu aliniambia hata usome vipi Tanzania bila kwenda kuiosha elimu yako kwenye vyuo vya Majuu bado haujaelimika..

So msichekane kuhusu Masters za Tanzania hazina tofauti zaidi ya kutaka kuleta mabishano tu humu

hao wengine nimewaacha sababu sio kesi hasa huyo mdada coz simfahamu..back to the point ukicheki huyo jamaa naye ni muajiriwa..analipwa around 20 mil still ni muajiriwa mim sioni kama kuna chochote kile cha ajabu sababu ukisema ujumlishe hiyo tuition fee alikosoma kokote kule ni zaidi ya hizo 20mil so hana tofauti na graduate wa bongo aliesoma kwa tuition fee ya 12mil kwa undergraduate na kulipwa around 1.2-1-9mil..coz still ni muajiriwa tu na sio kwamba naye ameajiajiri kama wenzie hao..wa mwanzon huko..swala la kufanya utofauti ni uwezo binafsi..maana kama kitu entreprenuership ni spirit from within huwezi soma desa na kua entreprenuer inabidi uwe na moyo na dhamira so ukichanganya na elimu yako inakua fresshh..usicheke wanaosoma bongo maana elimu yetu ni ya kikoloni inayotayarisha watu kwa white collar jobs..hata utamaduni wetu ukisema wataka ujiajiri society, na family inakushangaa....over....
 
acha kukalili we kilaza!masters sio swala la kusoma miaka miwili wala miaka 100 ni swala la mfumo wa chuo husika nimesoma masters mzumbe kozi nzima ni miezi 18.mwaka m1 course work then thesis miezi 6. nimesoma maters UK kozi nzima ni miezi 12 yote ni course work.kaka kama umekalili kuwa shule bora ni ile inayosomwa miaka mingi nina mashaka na uelewa wako na uwezowako wa kuelewa na kuchanganua mambo. shule sio kukaa darasni muda mrefu kama wewe shule ni uwezo wa kuelewa na kuchambua na kukieleza ulichokielewa.
RUDI SHULE KIJANA:A S 39:
 
Malimbukeni utawajua tu,nadhani kwenye ukoo wenu ndio wa kwanza kupata Masters.
 
Hili ndilo tatizo wa wengi hapa JF kwenye jukwaa la siasa.

Huyu anajenga hoja na kwenda mbali kabisa na kufikia hatua ya ku-confute Nape qualification and discredit elimu inayotolewa na chuo cha Mzumbe ili ku-rationalise kama Nape is empty-headed.

Bora angejua kama hajui alilokuwa analitetea kuliko kufikili anajua wakati hajui.

Huu ni uzuzu wa kutojua mifumo ya elimu kwa kudhani kwamba kile unachojua wewe ni universal. Unapaswa kufunguka na kufanya utafiti kabla ya kutoa maoni ambayo mbele critical thinkers yatakuwa na mashiko..........

...........Kama mtu akifanya uchunguzi kidogo tu, atabaini kwamba Mzumbe wanatoa Master's programme kwa miezi 18 yaani three academic semisters. Semester mbili za Course Work na semester 1 kwa ajili ya Dissertation. Hata Uingereza, vyuo vilivyo vingi, masters ni miezi 12 tu na si zaidi. Miezi 9 course work na 3 dissertation. Sasa sijui mleta uzi umetumia best practice ya nchi zipi. Ingawaje ni ukweli kwamba kuna nchi nyingine wanafanya masters miezi 24 hadi 48 depending on the nature of the course.

Mawazo ya kudhani ubora unatokana na duration. Katika hili sipendi kumung'unya maneno, huo ni umbumbumbu kweli kweli. Unapaswa kufunguka na kutoka nje ya box.

Sina ushirika wa kimtazamo na kiitikadi na bwana Nape, lakini katika hili lazima niwe impartial na more objective.
 
Back
Top Bottom