Mazuri ya mahusiano/ndoa

Mazuri ya mahusiano/ndoa

What's good Bossman....

I'm just tryna keep it 100.

Manake usikute watu hata hawataki kabisa waume/wake zao wajue kuwa wamo humu.

Na hata kama wanajua, basi huenda wanawajua kwa jina moja tu. Hivi umeshawahi kuwaza mtu kama Zinduna anatumia majina gani mengine humu?

Wangapi huwa wanadai wako kwenye ndoa na watoto juu lakini wana wabebs wao humu ndani?

It's befuddling, to say the least!

hayo mengine tushayasikia sana. hebu tupe ushuhuda wako wa mambo mazuri tu hamisi, usichafue hali ya hewa nakuomba.
 
Mumeo anajua kuwa upo JF? Na ID(s) yako/zako anaz(i)jua?

Haswaaa anajua nimfiche nini sasa! hata hiyo id name yangu ni kolabo ya jina lake na langu,ila interest tumetofautiana yeye JF hakujamkolea,yeye mafecebook,watsup,tango ndo vijiwe vyake wakati mie si sana huko.
 
hayo mengine tushayasikia sana. hebu tupe ushuhuda wako wa mambo mazuri tu hamisi, usichafue hali ya hewa nakuomba.

From past personal experience.....

Kwenda grocery shopping pamoja. Kwenda kula sehemu...kwenye mgahawa mzuri ulio na mandhari ya utulivu.

Kupika pamoja nyumbani....kucheza....mi napenda sana kucheza na mwenza wangu....mara mfinyane...mng'atane...umdunde ngumi (sio zile za kuumiza lakini...just play-fighting)....mara nijifiche nyuma ya mlango hafu akitokezea namtisha....basi akiruka mi nacheeeeeka.

Siku ambazo yuko off narudi nyumbani wakati wa lunch kupata nooner.

Ila shubiri ikija ingia....usiombe! Mnaweza tu mkaangaliana na kuishia kukasirikiana.

Ndoa zina mambo wewe.....
 
From past personal experience.....

Kwenda grocery shopping pamoja. Kwenda kula sehemu...kwenye mgahawa mzuri ulio na mandhari ya utulivu.

Kupika pamoja nyumbani....kucheza....mi napenda sana kucheza na mwenza wangu....mara mfinyane...mng'atane...umdunde ngumi (sio zile za kuumiza lakini...just play-fighting)....mara nijifiche nyuma ya mlango hafu akitokezea namtisha....basi akiruka mi nacheeeeeka.

Siku ambazo yuko off narudi nyumbani wakati wa lunch kupata nooner.

Ila shubiri ikija ingia....usiombe! Mnaweza tu mkaangaliana na kuishia kukasirikiana.

Ndoa zina mambo wewe....
.

wacha weee!!! asante ila natamani usingemalizia hivo. nimesoma huku natabasamu ila mwishoni nimenuna kidogo.
 
Husninyo experience ya ndoa kwangu mimi ni nzuri mno na huwa namshukuru sana Mungu kwa kunikutanisha na mwenzangu kwani huwa najiuliza hivi ningeishi na mtu tofauti na yeye maisha yangekuwaje. Tunawasiliana vizuri kwani ndoa huwa ngumu kama hakuna mawasiliano. Ni mtu anayeniheshimu na kunipenda jinsi nilivyo tunaheshimiana na kuthaminiana. Tumekua marafiki wa karibu na tunashirikishana kila kitu , hakuna siri kati yetu. Kutokana na imani iliyojengeka kwenye jamii ni vigumu kumuaminisha kila mmoja kuwa ndoa njema zinaexist lkn ukweli ndio huo zipo. Kama wengine walivyotangulia kusema uwe mwangalifu kwenye selection kwani ukipatia lazima utasema ulichelewa wapi na hii migogoro ya ndoa utaisikia kwa jirani tu sana sana utaitwa kusuluhisha. Kuna hivi vitu uaminifu, upendo, mawasiliano na ukweli ni muhimu sana kwenye maisha ya ndoa kwani kimojawapo kikikosekana utaona ndoa inaanza kuwa na kasoro hivi.
 
Last edited by a moderator:
m labda nisifie mazur ya mamangu na sio habar za mtoto wa mtu cz naamn mamangu kanifanyia makubwa kuliko yoyote dunian
 
Raha kumuona tu akitabasamu. Kumlea, Raha kusema sipendi huo mtindo wa kuacha kula mchana kisa uko bize. Raha kuwaza sijui nimpikie nini leo. raha kuongea naye. Raha kuona tunavyokua wote. Raha kumuombea ili afanikishe kitu fulani. Raha kumfundisha maneno ya kitaalam ambayo yeye hajui.

Raha kudeka. Raha kuhudumiwa. Raha kupewa zawadi. raha kusimamiwa mpaka ukamilishe kazi yako. Raha kuhangaikiwa. Raha kupikiwa.
Mie huwa kagonjwa, basi nijishaue nitakuwa vizuri wakati naumia, hapa ni mwendo wa action bila ridhaa. Halafu unikosee sasa, mie ntakusamehe ila huyu mwenzangu kama nikiruhusu uanweza pigwa ati.

Nikikosea najua hatoninyamazia. Nikipendeza ntaambiwa umependeza. Nikipika vizuri ntasifiwa. Nikiumizwa ntafarijiwa.
Siku zinaenda tunahesabu miaka tunatimiza ndoto pamoja. Kukoseana kupo ila tunasonga mbele
 
at leat umekuwa positive hapo kwenye red Nyani Ngabu,ila i wonder the reason most of the times uko negative concerning relationshipis!!!!!!!!!!just trying to think big and behind the keyboard n your handwriting.
From past personal experience.....

Kwenda grocery shopping pamoja. Kwenda kula sehemu...kwenye mgahawa mzuri ulio na mandhari ya utulivu.

Kupika pamoja nyumbani....kucheza....mi napenda sana kucheza na mwenza wangu....mara mfinyane...mng'atane...umdunde ngumi (sio zile za kuumiza lakini...just play-fighting)....mara nijifiche nyuma ya mlango hafu akitokezea namtisha....basi akiruka mi nacheeeeeka.

Siku ambazo yuko off narudi nyumbani wakati wa lunch kupata nooner.

Ila shubiri ikija ingia....usiombe! Mnaweza tu mkaangaliana na kuishia kukasirikiana.

Ndoa zina mambo wewe.....
 
Last edited by a moderator:
at leat umekuwa positive hapo kwenye red Nyani Ngabu,ila i wonder the reason most of the times uko negative concerning relationshipis!!!!!!!!!!just trying to think big and behind the keyboard n your handwriting.

The difference between me and other folks is, I keep it real (the best I can), I don't look at life through rose-colored glasses, and I don't like sugarcoating things.

Now, if you and other people view that as being negative, then so be it. But I just call it as I see it.
 
Asikuambie mtu, no marriage is a bed of roses.

But as long as there is fear of God, you shall overcome everything in your holy matrimony.

I enjoy my marriage and I thank God each night for my husband and child.
 
Ndoa zina mazuri mengi kuliko mabaya mamy,tatizo ni kuwa ubaya unalalamikiwa na kutajwa mno kuliko wema.
Tumejizoesha vibaya tu kuwa baya moja litafuta mema yote hata kama yalikuwa elfu moja.
Ndoa ni tamu sana mamy hasa mkipendana na kukubali kuchukuliana.
Huyo anayeonekana mbaya ukimchunguza vizuri ana mema yake pia na ndio maana mkawa pamoja,kazana kutafuta hayo utafurahia ndoa/mahusiano yenu maana mbaya halisi na wema hakosi!!!!
 
Ndoa imesaidia kupunguza gharama za maisha yaaani uns uhakika nyumbani wamepika so ile kula kula ovyo ovyo kwenye migahawa ya bei mbaya inakuwa haipo., pia uhakika wa sex lol huitaki kuwaza utalala na nani kila mwezi ni hivyo tu
 
wow then thats good of you and i dare say congratulations for that, but on the red color it seems like you have taken my curiousity as an offence or something embarassing you,if thats it then am sorry though i realy was just being curios Nyani Ngabu.
The difference between me and other folks is, I keep it real (the best I can), I don't look at life through rose-colored glasses, and I don't like sugarcoating things.

Now, if you and other people view that as being negative, then so be it. But I just call it as I see it.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom