Mazuri ya mahusiano/ndoa

Hii mada imetulia sana, ngoja nitulie nami nipate mawili matatu hapa kabla sijachangia.
 
Kila kitu ni mtizamo wako juu ya hicho kitu. Kuna watu wanasema TZ ni nchi ya amani, kuna wengine wanabisha sana, kulingana na tafsiri zao za amani.

Ila kikubwa nilichogundua ni kuwa, ukimpata mwenza mnayerandana kimitizamo, afu na myo wako umpende(mioyo can be very stubborn at times, inamkataa the right person na kung'ang'ania alshabab), basi ndoa ni paradiso ya duniani.

Mtu ambaye unaweza mweleza hata zile worry ambazo ulikuwa hujawahi mweleza mtu, mtu ambaye mna-communicate katika 'a heart to heart level', mind you, sila kila uhusiano una aina hii ya mawasiliano. Kuna mahusiano mabayo mnawasiliana kama chiriku tu, mnaongelea mambo meeeengi, mnaishia kwenye vitu personal, no heart to heart.
Aina hii ya mahusiano, hamna siri, hamna mtu anayejengwa kwao kinyemela, hamna anayemwibia mwenzie hela, sababau kama una shida si utasema.

Ukiamka asubuhi na kukutana na tabasamu lake, uwiii, unapiga tu sala ya kuomba maisha marefu ya pamoja.

umenena vema ila hapo red konnie kuna vitu hata uvitazame kwa jicho la tatu huwezi kubadilisha uhalisia wake. halafu mbona umetunyima kutuambia mazuri ya baba naniliu? mazuri tu tafwazali, matatizo yake baki nayo mwenyewe. lol
 
Ndoa ni tamu sijapata kuona maisha mazuri kama haya!,unaishi na kiumbe aliyekupa moyo wake na wewe unautunza kama mboni ya jicho we acha tu,ukiguna kidogo tu vipa baba,ukiachilia mbali kula tunda wakati wooote uutakao,mwanamke amesoma lakini anajua wajibu wa mke kwanini usiyatoe maisha yako kuihudumia familia yako kama Yesu alivyojitoa kwa ajili ya wengine
kwa wale walipata wake/waume kutoka kwa Bwana kila siku ni haleluya..".....Mke mwenye busara mtu hupewa na Bwana"

amen!! inaleta faraja sana, kuwa na mtu wa kulala na kuamka pamoja. kushirikiana kwa kila jambo. hongera mkuu.
 
Husninyo j3 yote hii unaleta thread ngumu namna hii.......orait........ngoja nichekeche.......will be back after a short brake..........

chekecha dear, mi siamini kama mahusiano ni mabaya kiasi hicho. angalau tuwape moyo waliokata tamaa ya kupenda tena.
 
Kwanza raha ya ndoa

gegedo bila nafsi kukusuta, uwiii mnaruhusiwa hata kuanza kwa sala, na biblia ikiwa mchagoni kabisa, si mnasisitizwa hata chachi mpeane, na msinyimane. Hii huleta matipo ogazimu:A S 13:


Mtu wa kuashaurian nake without holding back, sio unawaza sijui nikisema ataenda kutangaza??


Kama kuna security hivi, yaani unajiachia tu. Mtu wa kukucare si yupo bana, kwa nini uwaze kuwa na vi-insurance? Yale mapocho pocho ya mabusu, ujue hata busu la ndoani limeungwa? Hulipati chuku chuku la haraka haraka tu, yaani hili mtu analiwazia tokea asubuhi, jinsi gani aliongezee tashtiti ta tashtati.


Mazuri ya mwenza halali ni meengi mno, labda awe alishabab sana. Na akiwa alshabab ruksa kuondoka, heri nusu shari kuliko shari kamili.

umenena vema ila hapo red konnie kuna vitu hata uvitazame kwa jicho la tatu huwezi kubadilisha uhalisia wake. halafu mbona umetunyima kutuambia mazuri ya baba naniliu? mazuri tu tafwazali, matatizo yake baki nayo mwenyewe. lol
 
Ndoa nyingi ni tamu sana ...malalamiko ni sababu binadamu tumezoea mno kulalamika...ni hulka tu...ndo maana kuna matajiri bongo ukikutana nao wanakwambia 'maisha magumu'...ni mazoea tu ya kulalamika

ila binadamu kwa kulalamika sie. nafikiri hao matajiri wanajihami na mizinga.
 
Kwanza raha ya ndoa

gegedo bila nafsi kukusuta, uwiii mnaruhusiwa hata kuanza kwa sala, na biblia ikiwa mchagoni kabisa, si mnasisitizwa hata chachi mpeane, na msinyimane. Hii huleta matipo ogazimu:A S 13:


Mtu wa kuashaurian nake without holding back, sio unawaza sijui nikisema ataenda kutangaza??


Kama kuna security hivi, yaani unajiachia tu. Mtu wa kukucare si yupo bana, kwa nini uwaze kuwa na vi-insurance? Yale mapocho pocho ya mabusu, ujue hata busu la ndoani limeungwa? Hulipati chuku chuku la haraka haraka tu, yaani hili mtu analiwazia tokea asubuhi, jinsi gani aliongezee tashtiti ta tashtati.


Mazuri ya mwenza halali ni meengi mno, labda awe alishabab sana. Na akiwa alshabab ruksa kuondoka, heri nusu shari kuliko shari kamili.

loh umemaliza kila kitu maana unakuwa huru tena huru kweli kweli kwa kila kitu.
 
Back
Top Bottom