Shoger ndo anatumia kingereza kwenye kiswwhiliASIPOKITUMIA ALIJIFUNZA CHA NINI SASA?
Unamshangaa kwa lipi geni? Hicho kinaitwa "kiswanglish". Mbona wengi tu hata jiwe anakipenda????!!!!!
Hii pace ya pro mbona hatari?! Wewe ni mwanariadha?! Pace yangu ni 6 kwa amateurs ni nzuri tu.Miezi 6 sasa serious kila wiki.... Toka zamani nilikuwa nakimbia ila sikuwa serious.. But now naweza fika hadi pace ya min 3.31 per km
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwaga Sina Cha kujifunza kwa mtu anaechanganya kiswahili na kingerezaUnamshangaa kwa lipi geni? Hicho kinaitwa "kiswanglish". Mbona wengi tu hata jiwe anakipenda????!!!!!
Hii hatari, huwa nakimbia mara tatu kwa wiki 15km at 6paceJaman Tufanye mazoezi kwa afya maana Magonjwa yanayotokana na mtindo Wa maisha ni mengi Sana.. Tulio serious kufanya road runner Sidhani Kama hata tunawaza kutongoza ingawa unakutana na wanawake wengi wa kila namna na shape.. .. Maana target Inakuwa umalize distance unayotaka Na time.. Ngoja Leo niingie km 35.View attachment 1458387
Sent using Jamii Forums mobile app
hii siyo akaiweke Kule kwenye kulana kimaskhara, au unaonaje mdau
Piga kelele kwa kwioooo wake.Katika wakati huu kumeibuka Dhana ya kufanya mazoezi maeneo ya beach, barabarani na katika Gym kwa maana ya kuweka miili fit na kuepuka magonjwa yasiyoambukiza..
Kiuhalisia Mazoezi Ni jambo jema na ni la maana sana kulichukulia kwa uzito.. Na kama mtu akifanya hivyo kwa nia njema basi Alhamdulilah..
Lakini kumeibuka hii tabia ya watu wa mjini kufanya mazoez kwa ajili ya kuwinda madem na Madem kwenda kuwinda Madanga.. (Unakuta mtu huyu hana hata nia Ya kufanya mazoez ila kuchukua namba za Madem au Dem kujilengesha kwa wanaume) Angalia wanawake wanavyovyaa sehem za Gym? Ohoooo na vile siku hizi Misambwanda ndo deal.. Huchomoki Mwanawane..
Totoz zinakula Suruali za mazoez ambazo Kama Mwanaume uliyekamilika lazima tu utajikuta umelipa Kodi.. achilia mbali kwenye matamasha ya Marathon ambayo watu wanasafiri na ku Camp mikoani huku wakila pombe na kujichagulia Totoz Huku wakiaga familia zao kwa maana ya kwenda kuweka miili fit..
Mazoezi Yamekuwa Fursa Ya ngono kwa baadhi ya watu (sio wote)
Sent using Jamii Forums mobile app
we kweli kijana , mi kutembea hizo km sawa ila sio kukimbiaJaman Tufanye mazoezi kwa afya maana Magonjwa yanayotokana na mtindo Wa maisha ni mengi Sana.. Tulio serious kufanya road runner Sidhani Kama hata tunawaza kutongoza ingawa unakutana na wanawake wengi wa kila namna na shape.. .. Maana target Inakuwa umalize distance unayotaka Na time.. Ngoja Leo niingie km 35.View attachment 1458387
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kumbe ndio unae tafutwa broo kimbia unaliwa tools muda s mwingisasa mwanamke ana mswambwanda alafu kavaa big g katanua miguu huku kainama anafanya stretch unamuachaje ?
mimi binafsi nishawala watatu ila sitorudia tena kwa sababu mmoja ni mke wa brigedia general.na sikujua kwa kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Gundi aidia.....hii siyo akaiweke Kule kwenye kulana kimaskhara, au unaonaje mdau
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh..Wenyeji wanasema hapa mjini mazoezi yanaamsha vichocheo
Chopstick from Hong Kong
Hii pace ya pro mbona hatari?! Wewe ni mwanariadha?! Pace yangu ni 6 kwa amateurs ni nzuri tu.
Ndo uwashangae sasa hawa vijana. Wanataka viungo vingine visinyae tu wakati gym ziposasa shida iko wapi kule ni sehemu ya kufanya mazoezi ya viungo vyote,mnataka baadhi ya viungo vibaguliwa
Nipatie numbersasa mwanamke ana mswambwanda alafu kavaa big g katanua miguu huku kainama anafanya stretch unamuachaje ?
mimi binafsi nishawala watatu ila sitorudia tena kwa sababu mmoja ni mke wa brigedia general.na sikujua kwa kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app