Mwana wa Mungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2008
- 1,003
- 83
WAKUU, kwenu ninyi madaktari na wasomi wengine, hivi maziwa ya ng'ombe na ya soya, yapi yana virutubisho vingi zaidi, tangu nianze kunywa maziwa ya soya, yale ya ng'ombe naona kama siyapendi vile...na afya yangu naona safi zaidi. wataalam mnasemaje kuhusu hili?
point of correction! namaanisha maziwa ya kunywa watu wazima si ya watoto. au nyie watu wengine huwa hamnywi maziwa?
point of correction! namaanisha maziwa ya kunywa watu wazima si ya watoto. au nyie watu wengine huwa hamnywi maziwa?