Mazishi ya wakiristo hutumia gharama kubwa

Mazishi ya wakiristo hutumia gharama kubwa

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
8,476
Reaction score
12,666
Mazishi ya wasiokuwa waislam maiti huchelewa kuzikwa, sijui kwanini.
Maana inasababisha gharama kubwa na baadae wakati mwengine hutokea mitafaruku ktk familia na jamii.
Na yaona ya muasisi wa chadema.
Mazishi ya muislam hata awe mfalme, ukifa asubuhi mchana tunakupeleka ili wengine turudi tukahudumie jamii
 
Mazishi ya wasiokuwa waislam maiti huchelewa kuzikwa, sijui kwanini.
Maana inasababisha gharama kubwa na baadae wakati mwengine hutokea mitafaruku ktk familia na jamii.
Na yaona ya muasisi wa chadema.
Mazishi ya muislam hata awe mfalme, ukifa asubuhi mchana tunakupeleka ili wengine turudi tukahudumie jamii
Mbona Mtume hakuzikwa haraka?
Abu Lahab (PBUH)
hamis77
 
1990
Hizo ni taratibu zao binafsi , wanazipenda hivyo hivyo wanazifanya hivyo hivyo ,usiwapangie cha kufanya.
1999s-early 2000s hazikuwepo hizi taratibu
Ila siku hizi misiba ya kikristo kuna hadi muziki na pombe,wao hufuata tu ulaya wafanyavyo
Ulaya waenda na suti kanisani,kule baridi,unaona dar wanyakyusa wakitoka kanisani saa nane unusu na suti zito kweli kweli tena November

Akili wameweka pembeni kabisa,siyo ukristo bali uzungu
 
1990

1999s-early 2000s hazikuwepo hizi taratibu
Ila siku hizi misiba ya kikristo kuna hadi muziki na pombe,wao hufuata tu ulaya wafanyavyo
Ulaya waenda na suti kanisani,kule baridi,unaona dar wanyakyusa wakitoka kanisani saa nane unusu na suti zito kweli kweli tena November

Akili wameweka pembeni kabisa,siyo ukristo bali uzungu
Msheikh pia huvaa makoti ya suit muda mwingi. Wao joto haliwahusu?
 
Back
Top Bottom