Mazingira na Kiini cha mabadiliko Nchini Malawi

Leslie Mbena

JF-Expert Member
Nov 24, 2019
207
677
Leo 09:22am 27/06/2020

Rais wa tatu wa Malawi, Bingu wa Mutharika kipenzi cha Wamalawi,muanzilishi wa Chama cha DPP alichokianzisha 2005 na mwaka 2009 kilibeba viti vingi vya Wabunge bungeni,alifariki Mwaka 2012 akiacha sifa njema katika nchi ya Malawi.

Rais anayemaliza muda wake,Peter Mutharika ni mdogo wa Rais Bingu wa Mutharika.

Arthur Peter Mutharika anapewa tuhuma na Wamalawi kuwa ni mtu aliyeendesha maisha yake Ulaya na kurudi Malawi kugombea Urais kwa kivuli cha sifa za kaka yake Rais Bingu wa Mutharika aliyesemekana kuwa Mzalendo kwa nchi ya Malawi.

Wamalawi wamemkataa Peter Mutharika kwa kuwa haijui Malawi kama alivyokuwa anaijua kaka yake Bingu wa Mutharika, hiyo ndiyo hali iliyowakuta Wamalawi na kuamua kumtoa Rais Peter Mutharika madarakani.

Wapinzani wa Tanzania wanasema tuige Mabadiliko ya Malawi, Sasa unajiuliza kwa vigezo vipi au kwa mazingira gani hasa ukirejea mazingira tofauti wanayopitia Wamalawi.

Malawi ni nchi yenye ukubwa wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sasa Tanzania ni nchi yenye ukubwa kama wa Soviet Union, Wamalawi na Wazambia wakija kununua vitu Kariakoo wanashangaa nchi ya Tanzania ilivyo kubwa, wakipita Mbeya, Iringa, Morogoro kuja Dar es Salaam

Kutokana na ukubwa wetu wa nchi mfano wa Soviet Union,ni vyema tungeiga Mabadiliko ya Urusi au China ya kuongeza muda kwa Rais ambaye amevunja rekodi ya Miaka minne tu kututoa kwenye nchi ya kipato cha chini hadi nchi ya kipato cha kati

Ni muda sasa kuwaza vizuri kama Watanzania ambao tunaishi katika nchi kubwa na yenye nguvu za kiuchumi, The Great Tanzania.

Tuache unyonge kwa maana Tanzania sasa inasimama katika mstari mmoja na nchi za Uchumi wa kati kama Kenya, Misri, Algeria, Morocco na tunaelekea kusimama mstari mmoja na nchi ya Uchumi wa juu, nchi ya Afrika ya kusini,

Kimkokotenge tutakuwa tumepiga bao sana kiuchumi tukimpa miaka mingine kumi Mh Rais Magufuli, tutakuwa Kama Afrika ya kusini au zaidi ya Afrika ya kusini, it can be done, play your part.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master's in Leadership and Management.

-Research;Assessing Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
 
Hata waliokusomesha walikula hasala,umetembelea jamii inayokuzunguka ,umefika kijijini kwenu ukaona wazazi wako walivyo na maisha magumu? kumbe kuna tofauti kati ya kusoma na kuhudhulia, kama una watoto,ndugu jamaa na marafiki waonyeshe hili bandiko lako,halafu watazame nyuso zao.
 
Tawa Matombo, the money spent on education may be declared as a waste to the nation if it was paid by the governmebt, or waste to your oarents if the paid it for you. How on eart can you compsre the Soviet Union with Tanzania? The former Soviet Union covered an area of 22,402,200 square lilometres, and was the world's largest country. The area of Tanzania covers a mere 945,087 square kilometres, or just km² or just 4% of the area of the former Soviet Union. Go and re read your ordinary level education books if you were previledged to go up to form four. Be blessed.
 
nice one
Leo 09:22am 27/06/2020

Rais wa tatu wa Malawi, Bingu wa Mutharika kipenzi cha Wamalawi,muanzilishi wa Chama cha DPP alichokianzisha 2005 na mwaka 2009 kilibeba viti vingi vya Wabunge bungeni,alifariki Mwaka 2012 akiacha sifa njema katika nchi ya Malawi.

Rais anayemaliza muda wake,Peter Mutharika ni mdogo wa Rais Bingu wa Mutharika.

Arthur Peter Mutharika anapewa tuhuma na Wamalawi kuwa ni mtu aliyeendesha maisha yake Ulaya na kurudi Malawi kugombea Urais kwa kivuli cha sifa za kaka yake Rais Bingu wa Mutharika aliyesemekana kuwa Mzalendo kwa nchi ya Malawi.

Wamalawi wamemkataa Peter Mutharika kwa kuwa haijui Malawi kama alivyokuwa anaijua kaka yake Bingu wa Mutharika, hiyo ndiyo hali iliyowakuta Wamalawi na kuamua kumtoa Rais Peter Mutharika madarakani.

Wapinzani wa Tanzania wanasema tuige Mabadiliko ya Malawi, Sasa unajiuliza kwa vigezo vipi au kwa mazingira gani hasa ukirejea mazingira tofauti wanayopitia Wamalawi.

Malawi ni nchi yenye ukubwa wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sasa Tanzania ni nchi yenye ukubwa kama wa Soviet Union, Wamalawi na Wazambia wakija kununua vitu Kariakoo wanashangaa nchi ya Tanzania ilivyo kubwa, wakipita Mbeya, Iringa, Morogoro kuja Dar es Salaam

Kutokana na ukubwa wetu wa nchi mfano wa Soviet Union,ni vyema tungeiga Mabadiliko ya Urusi au China ya kuongeza muda kwa Rais ambaye amevunja rekodi ya Miaka minne tu kututoa kwenye nchi ya kipato cha chini hadi nchi ya kipato cha kati

Ni muda sasa kuwaza vizuri kama Watanzania ambao tunaishi katika nchi kubwa na yenye nguvu za kiuchumi, The Great Tanzania.

Tuache unyonge kwa maana Tanzania sasa inasimama katika mstari mmoja na nchi za Uchumi wa kati kama Kenya, Misri, Algeria, Morocco na tunaelekea kusimama mstari mmoja na nchi ya Uchumi wa juu, nchi ya Afrika ya kusini,

Kimkokotenge tutakuwa tumepiga bao sana kiuchumi tukimpa miaka mingine kumi Mh Rais Magufuli, tutakuwa Kama Afrika ya kusini au zaidi ya Afrika ya kusini, it can be done, play your part.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master's in Leadership and Management.

-Research;Assessing Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
 
Back
Top Bottom