connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,775
- 3,842
1. Wakuu niliagiza Mazda CX 5 ya 2015, 2,200cc (diesel) August 2024 baada ya mwezi na nusu ikawa imeshafika bongo.
2. Nikajipinda nilkaitoa bandarini. Mziki umekuja kwenye kui-maintain daah msala. December nilienda nayo kijijini sasa kule Barabara zetu sio nzuri siku ikanyesha mvua tope kama lote barabaran kulazimisha kupita gari ikaserereka hadi kwenye mti puu taa ya upande wa dereva ikapasuka, kuulizia bei 1.5m TZS! Mpaka leo taa nimeunga na gundi.
3. Service natumia oil Castro 5w30 gharama za kila kitu service nayo kizunguzungu huna laki 7 hujafanya service.
Nipo safarini ila ndinga hii inanifikirisha sana.
2. Nikajipinda nilkaitoa bandarini. Mziki umekuja kwenye kui-maintain daah msala. December nilienda nayo kijijini sasa kule Barabara zetu sio nzuri siku ikanyesha mvua tope kama lote barabaran kulazimisha kupita gari ikaserereka hadi kwenye mti puu taa ya upande wa dereva ikapasuka, kuulizia bei 1.5m TZS! Mpaka leo taa nimeunga na gundi.
3. Service natumia oil Castro 5w30 gharama za kila kitu service nayo kizunguzungu huna laki 7 hujafanya service.
Nipo safarini ila ndinga hii inanifikirisha sana.