Mazayuni walivyouliwa kwa wingi sasa wanachukuwa askari wa Kukodi kutokea Malawi

Huwezi kuwa Muislam kama unampinga Yesu.

Unaonesha huufahamu Uislam.

Kwa kukujuza t7 mama'ke Yesu katajwa kwenye Qur'an kuwa ni mwanamke bora katika wanawake wa ulimwengu, hata biblia haijampa sifa hiyo.

Unalielewa hilo?
Biblia inasema amebarikiwa kuliko wanawake wote na Yesu mzawa wa tumbo lake amebarikiwa.
 
Bana makalio, uache kujamba jamba kama nati zimelegea.

Israel kamwe haiwezi kuchukua askari kutoka Malawi. Kasome taarifa acha kukurupuka ka kanzu iliyoezuliwa na upepo.

Malawi iwe na wapiganaji wa kukodi? Umetoka kutawaza uso kiasi kwamba umepoteza na network. Uwezo wa kufikiri huna.
Kweli huyu Bibi hamnazo analeta upumbavu. Yaani wayahudi washindwe kupigana na Hamas wakachukue wanyasa ndo wakapigane na Hamas? Wamalawi ndo wakalinde Israel kweli?
Hili Bibi bure kabisa.
 
Kuna siku Hawa HAMAS watapata nguvu na watamuondoa mzayuni maana ukiangalia trend wanaonekana kuimarika siku Hadi siku unless itumike nguvu kubwa sana kuwapunguza nguvu
 
Huwezi kuwa Muislam kama unampinga Yesu.

Unaonesha huufahamu Uislam.

Kwa kukujuza t7 mama'ke Yesu katajwa kwenye Qur'an kuwa ni mwanamke bora katika wanawake wa ulimwengu, hata biblia haijampa sifa hiyo.

Unalielewa hilo?
Uislamu na Mayahudi wote hawakubali kwamba Yesu ndiye Masia, ni Mwana wa Mungu, alitoka kwa Mungu na ni Mungu.

Kwa taarifa tu, Mayahudi yalimpokea Mohamed kwa mikono miwili wakiamini ndiye masia. Aliposhika mapanga tu ndo wakamstukia.
 
Don't allow your poverty to be your death" anawaambia ndugu zake wa Malawi kwenye clip hiyo daa
Mnamshambulia anaewaamsha
Hebu wekeni chuki pembeni na kukebehi dini bali angalieni na chambueni

Tatizo wabongo baadhi akili ni ndogo sana
Unaweza kusema jamaa kaiba billions halafu utakuta wengi wa masikini wanasema hata mimi nisingeziacha, badala ya kujadili na kukemea
Kweli ndio maana mnakufa kila leo kwa ajali kisa ujuaji wa kijinga
Hakuna anaeshangilia vita ila kama kuna mambo yanahitokeza lazima uyatafakari na kujiuliza kwanza kuliko kushambulia tu

Kuna uzi humu Malawi wamepeleka vijana kwenye mashamba ngoja niufuatilie
 
Bana makalio, uache kujamba jamba kama nati zimelegea.

Israel kamwe haiwezi kuchukua askari kutoka Malawi. Kasome taarifa acha kukurupuka ka kanzu iliyoezuliwa na upepo.

Malawi iwe na wapiganaji wa kukodi? Umetoka kutawaza uso kiasi kwamba umepoteza na network. Uwezo wa kufikiri huna.
Kwani vp blazza mbona povu au ulizani wazayuni ni immortals?
 
Nenda balozi ya mazayuni Dar, watakubusu kwa furaha, wanahitajii sana watu sasa hivi.
nipo tayari ss je dalasa la saba wanakubal? naomba unielekeze ubaloz wao dada yangu. ila kingeleza najua cha kuongea kulko wenye erimu ya digrii
 
Back
Top Bottom