last king of uscoch
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 2,700
- 3,924
We bilgate matumizi yake unayajua lkini. ...Au unafikiri anashindia ugali tembele,Mtu usafiri anaotumia Mara kwa Mara ni ndege tena yake binafsi sasa ukiambia na yeye akimwaga oil kwenye ndege ni sh.ngapi? sijui utaanza kusema mitume hawakuishi hivyo,acha mtu atumie pesa yake aliyoipigania bna,ndo maisha ya ndoto zake hayoNdio akili za kiafrika.
Angekua bilgates ni mtu mweusi nadhani hata kuja Tanzania asingekuja. Watu weusi tuna matatizo ya akili na IQ ndogo.
Mtu mweusi akipata pesa anafikiria starehe na umaarufu, bilgates hatujawahi kusikia anafanya huo ujinga