Nimesoma sehemu kuwa Fiston Mayele atakwenda kwenye Kambi ya Yanga huko Egypt. Kwa ushauri wangu nadhani asiruhusiwe kuonana na wachezaji wa Yanga kwasababu ni dhahiri yupo tayari kuihuju timu.
Natoa sababu zifuatazo
1. Mchezaji huyo kwasasa ana mgogoro na Mashabiki wa Yanga.
2. Hakuna Mchezaji anayependa kuona mafanikio ya klabu aliyotoka na hayo mafanikio yakavuka record yake akiwepo
3. Al Ahly wanaweza kumtuma kwa Pacome , Diara nk kuyajenga mambo.
Nashauri AONANE NAO BAADA YA GAME.
Mayele hana jema kwa Yanga kwasasa na ana bifu zitu moyoni.
Mtanikumbuka
Natoa sababu zifuatazo
1. Mchezaji huyo kwasasa ana mgogoro na Mashabiki wa Yanga.
2. Hakuna Mchezaji anayependa kuona mafanikio ya klabu aliyotoka na hayo mafanikio yakavuka record yake akiwepo
3. Al Ahly wanaweza kumtuma kwa Pacome , Diara nk kuyajenga mambo.
Nashauri AONANE NAO BAADA YA GAME.
Mayele hana jema kwa Yanga kwasasa na ana bifu zitu moyoni.
Mtanikumbuka