Ni kweli itakupasa uwachome midomo yao waache kula mayai.umenifanya nicheke,are you serious?
Halafu mkuu sio mayai yako bhana... mayai ya kuku ndio yanaliwa sio mayai yakoNina kuku wa kienyeji wachache lakini kila wakitaga mayai yanaliwa na sijui nani anayala.
Nimeziba matundu makubwa makubwa yote bandani lakini bado,inaweza kua nyoka?? Au mnyama gani mdunchu mwenye anaweza kupenya kwenye matundu madogo?
Nifanye nini kumdhibiti mnyama/mdudu huyo jamani napata hasara.
Huu ni ukatili kwa Mifugo, ukijiridhisha kama Kuku wako ndio hula hayo mayai basi pita kwa Wauza chips wakupe maganda ya mayai, kisha yapondeponde uwape.mkuu au kuku wako ndiyo wanayala wenyewe.. choma kuku wako midomo wote uchagani ndiyo huwa tunafanya hivyo.. najua ni ukatili ila pesa muhimu
hii njia nilikuwa sijui.. najuaga ni kuwachomea mifupa na kuitwanga na kumchanganyia kwenye chakulaHuu ni ukatili kwa Mifugo, ukijiridhisha kama Kuku wako ndio hula hayo mayai basi pita kwa Wauza chips wakupe maganda ya mayai, kisha yapondeponde uwape.
Hii njia ina work vizuri tu..hii njia nilikuwa sijui.. najuaga ni kuwachomea mifupa na kuitwanga na kumchanganyia kwenye chakula
sawa mkuuHii njia ina work vizuri tu..
Dahhh pole.sana lkn humu jf kuna watu wengine wanakera mtu unaomba msaada anaanza kuleta mambo ya mzaha2 jamani.its.not.fairHavihusiani,huyajui mayai ww?
Mayai yangu yanaliwa jamaniNina kuku wa kienyeji wachache lakini kila wakitaga mayai yanaliwa na sijui nani anayala.
Nimeziba matundu makubwa makubwa yote bandani lakini bado,inaweza kua nyoka?? Au mnyama gani mdunchu mwenye anaweza kupenya kwenye matundu madogo?
Nifanye nini kumdhibiti mnyama/mdudu huyo jamani napata hasara.

Kuchoma kuku midomo huo ni ukatili sana kwa wanyama na ni kupingana na uumbaji wa mwenyezi Mungu kuwapa kuku midomo mirefu na iliyochongoka, mbinu mbadala ni kuingia bandani na kutoa mayai yote yaliyotagwa siku hiyo na pale wanapotanga kuacha mayai 3 viza, na kama kuna kuku anataka kulalia basi utachukua mayai kwenye tray na kumwekea..... simple....Serious mkuu kuna kuku anataga hapo hapo anakula ukisikia anaita inabidi ukimbilie la sivyo atalila mkuu dawa ni kuchoma mdomo na kisu cha moto ashindwe kutoboa yai
sawa mkuu nitaachaKuchoma kuku midomo huo ni ukatili sana kwa wanyama na ni kupingana na uumbaji wa mwenyezi Mungu kuwapa kuku midomo mirefu na iliyochongoka, mbinu mbadala ni kuingia bandani na kutoa mayai yote yaliyotagwa siku hiyo na pale wanapotanga kuacha mayai 3 viza, na kama kuna kuku anataka kulalia basi utachukua mayai kwenye tray na kumwekea..... simple....