Mayai yangu yanaliwa jamani

Mayai yangu yanaliwa jamani

Weka picha ya mayai badani.kuna mwingine alisifia papai na akaweka picha ya Dada anaangalia papai tukaelewa maana ya papai halisi alilomaanisha
Duuu hiii itakuwa akili ya mwendokasi sio ya kupumbana na umaskini
 
Inawezekana na Nyika pia,yan nyoka wanakula had vifaranga! Cha kufanya chemsha mayai angalau kumi uweke bandani,kama ni nyoka akiyameza hawezi kimbia haraka bandani siku ya pili unaweza mkuta .
 
katika vitu ntapinga hadi nnakufa ni animal brutality. Usikubali kuwachoma kuku midomo kwanza kwa uzoefu wangu nikuambie tuu kwamba hiyo ya kuchoma midomo huwa haifanyi kazi, period. Kama unahisi wanakula mayai ni upungufu wa madini hasa calcium halafu jaribu kuwalisha chakula chenye uwiano mzuri (kuku wakubwa layers). Pia wakishajenga tabia ya kula mayai hata ukiwapa virutubisho wanavyokosa bado tabia wataiendeleza na kuwafunza wengine hivyo jaribu kuwa unaokota mayai mara kwa mara na kuyarudisha kiotani kipindi akionyesha dalili za kulalia mayai.
 
Back
Top Bottom