Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 10,488
- 16,646
Waongoza ndege wa uwanja wa ndege wa Charles de Gaule wa Paris kuwaambia marubani wa ndege ya Israel 'Free Palestine" akimuaga baada ya kumsafishia njia ya kuondoka.
Kauli hiyo ya muongoza ndege ilifuatia baada ya ofisi za ndege za shirika hilo huko Paris kusiribwa na masizi na maandishi ya kuwaunga mkono wapalestina.
Huko huko Paris mti uliopandwa kumuenzi yahudi mmoja aitwaye Halimi aliyeuwawa miaka 14 iliyopitwa nao umekatwa chini,jambo ambalo raisi Macron wa nchi hiyo ameapa kuwatafuta watu hao.
Wiki moja kabla ubalozi wa Israel mjini Hagua nao ulivamiwa na kupakwa rangi za damu pamoja na milango yake kuvunjwa vunjwa.
Matukio ya aina hiyo yameenea kote duniani katika kipindi hiki cha miaka miwili ya vita vya Gaza.Maandamano makubwa sana kuwahi kutokea yamefanyika nchini Australia wakiwaunga mkono wanachi wa Palestina,
View: https://www.youtube.com/watch?v=j9S1qnZvWpk
Wamebaki watu wanne tu wenye mapenzi na wauwaji ambao ni Echolimali,Imeloa,Yoda na Mlaleo.
Kauli hiyo ya muongoza ndege ilifuatia baada ya ofisi za ndege za shirika hilo huko Paris kusiribwa na masizi na maandishi ya kuwaunga mkono wapalestina.
Huko huko Paris mti uliopandwa kumuenzi yahudi mmoja aitwaye Halimi aliyeuwawa miaka 14 iliyopitwa nao umekatwa chini,jambo ambalo raisi Macron wa nchi hiyo ameapa kuwatafuta watu hao.
Wiki moja kabla ubalozi wa Israel mjini Hagua nao ulivamiwa na kupakwa rangi za damu pamoja na milango yake kuvunjwa vunjwa.
Matukio ya aina hiyo yameenea kote duniani katika kipindi hiki cha miaka miwili ya vita vya Gaza.Maandamano makubwa sana kuwahi kutokea yamefanyika nchini Australia wakiwaunga mkono wanachi wa Palestina,
View: https://www.youtube.com/watch?v=j9S1qnZvWpk
Wamebaki watu wanne tu wenye mapenzi na wauwaji ambao ni Echolimali,Imeloa,Yoda na Mlaleo.