Maya amkufuru mungu

Maya amkufuru mungu

Herbalist Dr MziziMkavu

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,067
Reaction score
34,829
MAYA AMKUFURU MUNGU



Na Imelda Mtema
Mcheza sinema za Bongo ambaye ni muumini mzuri wa dini ya Kiislam, Mayasa Mrisho a.k.a Maya amemkufuru Mungu baada ya kunaswa na vuvuzela wetu akipombeka kama kawa licha ya kuwa kwenye mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

Mambo yalianza hivi. Jumatano ya Agosti 10, Maya alionekana akiwa amefunga na siku hiyo alifuata taratibu zote za mfungo wa Mwezi Mtukufu.
Alhamisi ya Agosti 11, Maya alionekana kwenye sherehe ya Send off ya Faraja iliyofanyika ndani ya Ukumbi wa SOJA jijini Dar es Salaam akiwa amewatega wanaume kwa kuacha matiti wazi huku baibui ambayo mchana hushinda ameivaa akiwa ameipa kisogo.

Jumamosi ya Agosti 13 msanii huyo alibambwa na paparazi wetu akigida kilevi ‘live' huku akisisitiza kwamba hiyo ndiyo daku yake na Mungu hawezi kumuhukumu kwa hilo kwa sababu hatendi dhambi kama watu wanavyofikiria.

"Sioni kama kuna tatizo kuvaa nguo kama hizi mwezi huu wala kunywa pombe, naamini Mungu haangalii hayo bali anaangalia matendo mabaya ya mwanadamu," alisema Maya. Picha bonyeza hapa http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/maya-amkufuru-mungu
 
<div style="margin-left:40px"><font color="#0000cd">MAYA AMKUFURU MUNGU</font><ul><li><font color="#FF6600"><br />
</font></li></ul></div><br />
<a href="http://ktunnel.com/index.php/1010110A/7e06d6f7bd6b4918b784b3b225a805a1d378d0161dd431d5391a02c722bd96a1605cf9d49c2048315ae9b4a3dedc17adfd27a87eb3be41ac54147e03362ef65e80b6f1b0e903dfa6eb7e75caf2aa82dd038548f7d14f9b0074b63331efedb54cea0beefa1194330e21d6a974a78a2f64e170ec1b25bd9a1a47592b068572a6cae020cf2719351" target="_blank"><img src="http://ktunnel.com/index.php/1010110A/7e06d6f7bd6b4918b784b3b225a805a1d378d0161dd431d5391a02c722bd96a1605cf9d49c2048315ae9b4a3dedc17adfd27a87eb3be41ac54147e03362ef65e80b6f1b0e903dfa6eb7e75caf2aa82dd038548f7d14f9b0074b63331efedb54cea0beefa1194330e21d6a974a78a2f64e170ec1b25bd9a1a47592b068572a6cae020cf2705b51851bcd673416cb419351" border="0" alt="" /></a><br />
<a href="http://ktunnel.com/index.php/1010110A/7e06d6f7bd6b4918b784b3b225a805a1d378d0161dd431d5391a02dd5de6b8af0004fdfa88305f3b62bfa9a3fafc12f3fd269575919339b7430a4a3a5e5cc56c98c8ccd7b67ec0c6f66745cbb4a3ef88658d1dd9f252fb213a871239adf0bc47d462c8e71ab16c2f02c4e973a1d72146ea12ec536dc6991376292906a55286eaff64d5305d19351" target="_blank"><img src="http://ktunnel.com/index.php/1010110A/7e06d6f7bd6b4918b784b3b225a805a1d378d0161dd431d5391a02dd5de6b8af0004fdfa88305f3b62bfa9a3fafc12f3fd269575919339b7430a4a3a5e5cc56c98c8ccd7b67ec0c6f66745cbb4a3ef88658d1dd9f252fb213a871239adf0bc47d462c8e71ab16c2f02c4e973a1d72146ea12ec536dc6991376292906a55286eaff64d5305dfd065cacca26496cb1d219351" border="0" alt="" /></a><b>Na Imelda Mtema</b><br />
Mcheza sinema za Bongo ambaye ni muumini mzuri wa dini ya Kiislam, Mayasa Mrisho a.k.a Maya amemkufuru Mungu baada ya kunaswa na vuvuzela wetu akipombeka kama kawa licha ya kuwa kwenye mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.<br />
<br />
Mambo yalianza hivi. Jumatano ya Agosti 10, Maya alionekana akiwa amefunga na siku hiyo alifuata taratibu zote za mfungo wa Mwezi Mtukufu.<br />
<a href="http://ktunnel.com/index.php/1010110A/7e06d6f7bd6b4918b784b3b225a805a1d378d0161dd431d5391a02a92edcf7a34162c9d7be71652561e98f92edcb51fffd088c3782a224d7213155265369d07d8db48789ec7fdfbdd07d5effa890b3d878cd53f5f44cd0287cb83433fcf1991be07af3e5199755110dcee62fa5a6744ac77aa10e7cb4991e64062b06a55286eabd2bd23253b1195ae6d43e1319351" target="_blank"><img src="http://ktunnel.com/index.php/1010110A/7e06d6f7bd6b4918b784b3b225a805a1d378d0161dd431d5391a02a92edcf7a34162c9d7be71652561e98f92edcb51fffd088c3782a224d7213155265369d07d8db48789ec7fdfbdd07d5effa890b3d878cd53f5f44cd0287cb83433fcf1991be07af3e5199755110dcee62fa5a6744ac77aa10e7cb4991e64062b06a55286eabd2bd23253b1195ae6d43e1366f38b16790969e22b8319351" border="0" alt="" /></a>Alhamisi ya Agosti 11, Maya alionekana kwenye sherehe ya Send off ya Faraja iliyofanyika ndani ya Ukumbi wa SOJA jijini Dar es Salaam akiwa amewatega wanaume kwa kuacha matiti wazi huku baibui ambayo mchana hushinda ameivaa akiwa ameipa kisogo.<br />
<br />
Jumamosi ya Agosti 13 msanii huyo alibambwa na paparazi wetu akigida kilevi ‘live’ huku akisisitiza kwamba hiyo ndiyo daku yake na Mungu hawezi kumuhukumu kwa hilo kwa sababu hatendi dhambi kama watu wanavyofikiria. <br />
<a href="http://ktunnel.com/index.php/1010110A/7e06d6f7bd6b4918b784b3b225a805a1d378d0161dd431d5391a02fb29babb8c5a46f9c18276470746a9afaae09840adea218661b4b01a9973094a2f542fdf7cdc8efca7ce4eff8dba6d54adec93acbb42d05ee7fc58f3011b982d0af2a39b16dc7995db28f46e2a1d97c0008b821f45df2aff2345b69d3745263c06a55286eafc64d5305d19351" target="_blank"><img src="http://ktunnel.com/index.php/1010110A/7e06d6f7bd6b4918b784b3b225a805a1d378d0161dd431d5391a02fb29babb8c5a46f9c18276470746a9afaae09840adea218661b4b01a9973094a2f542fdf7cdc8efca7ce4eff8dba6d54adec93acbb42d05ee7fc58f3011b982d0af2a39b16dc7995db28f46e2a1d97c0008b821f45df2aff2345b69d3745263c06a55286eafc64d5305d19351" border="0" alt="" /></a><br />
“Sioni kama kuna tatizo kuvaa nguo kama hizi mwezi huu wala kunywa pombe, naamini Mungu haangalii hayo bali anaangalia matendo mabaya ya mwanadamu,” alisema Maya.
<br />
<br />
mkuu MM nikwamba hawa wanaojua umuhimu wa kufunga halafu wanakiuka maadili wao watachomwa na moto wa gesi amini mi nakuambia..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom