Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,809
- 156,946
Acha tuYani tuna nyanyasika nchini mwetu na watu wachache wanaojiona miungu as if ni watoto yatima tusio na wakututetea...
Serious inauma na inakera mno,Mungu amponye TL soon,ila watu hawa wajifanyao wana mamlaka yote mpaka kukatisha uhai wawatu Mungu atashuhulika nao siku si nyingi...
Sent using Jamii Forums mobile app