King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,721
- 68,730
Mbona Jeshi la Polisi wanamuacha Musiba akifanya MASHUDU ya kuwachafua watu? Mbona yeye haojiwi? Kumbuka mnafuga JOKA hilo.
Sidhani, yaani Agents wa hiyo Tiss ndo wanakuwa wapumbavu hivi. Very difficult to comprehend na kama ni kweli basi hatuna kabisa Intelligence.Mimi naamini huyu jamaa HATA SIO MUSIBA IN REAL NAME...HILO JINA AMEPEWA KWA KAZI MAALUM...ANA JINA LAKE HALISI...NENDA GOOGLE KASEARCH BIOGRAPHY YAKE NA ALIPOPITIA HUPAONI...HUYO JAMAA MUSIBA SIO MJINGA MJINGA...NI MTU ANAYEJITAMBUA...NI MIONGONI MWA TISS AGENT...AMEJIDHATITI HASA...NA AMEWEKWA HAPO KWA KAZI HIYO...
Ukifuga chatu siku akimmeza mwanao usilalamikeHuyu Musiba wanamfuga na muda si mrefu ataleta madhara yasiyosemeka. Muda utaongea.
Wenzio wanamjua alikuwa Chanel TenMimi naamini huyu jamaa HATA SIO MUSIBA IN REAL NAME...HILO JINA AMEPEWA KWA KAZI MAALUM...ANA JINA LAKE HALISI...NENDA GOOGLE KASEARCH BIOGRAPHY YAKE NA ALIPOPITIA HUPAONI...HUYO JAMAA MUSIBA SIO MJINGA MJINGA...NI MTU ANAYEJITAMBUA...NI MIONGONI MWA TISS AGENT...AMEJIDHATITI HASA...NA AMEWEKWA HAPO KWA KAZI HIYO...
Nilijua sitapata jibuhapa umeshapanic.
Kwahiyo mlifungua hii kwa kazi maalum?Fungueni forum yenu ya lumumba
Muachane na jf mbn mnangangania huku
Ova
siasa mbaya sana, inachafua majina ya watu hatar sijui musiba ataacha lini hizi drama zake. kwa nini ccm wasimchukulie hatua kwa sababu naona anataka kuingiza watu kwenye game zake mbayaMkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anahojiwa na ofisi ya Mkurugenzi wa upelelezi wa Makosa ya jinai ( DCI) Jijini Dar Es Salaam muda huu.
Maxence anahojiwa muda mchache baada ya magazeti ya leo ya Tanzanite na Fahari Yetu kuandika kwamba Maxcence Melo kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, TCRA, Balozi Emmanuel Nchimbi na Benard Membe wanapanga njama za kumuua Cyprian Musiba.
Maxence anahojiwa chini ya wakili wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania, Jones Sendodo.
Mbali na Maxence Melo, Magazeti ya Tanzanite na Fahari yetu, yamedai kwamba Mkakati huo wa kumuua Musiba unapangwa pia na baadhi ya watumishi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Watumishi wa Jeshi la Polisi Nchini na Kigogo wa CCM.
Wengine walio kwenye mkakati huo wa kutaka kumuua Musiba ni Balozi wa Tanzania nchini Brazil Dkt. Emmanuel Nchimbi, Benard Membe, Ofisi ya DDP, Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Kanali Kipingu.
Magazeti hayo yamedai watumishi wa TCRA wamefunga account za Mitandao ya Kijamii ya Musiba na kufuatilia Mawasiliano yake.
Gazeti hilo limedai pia kwamba watu hao wanajipanga kifungua kesi nne, Mbili mahakama kuu na mbili mahakama ya Kisutu. Mbali na kesi pia kwamba wana mpango wa kuondoa uhai wake.
Pia Magezeti hayo yamedai kwamba hili Genge linalotaka kumtoa uhai wake, lilikuwa na mkakati wa kuhakikisha wanamuondoa rais Magufuli kupitia baadhi ya wajumbe wanaoingia katika mkutano mkuu wa CCM (NEC) na Kamati kuu(CC), ili asiweze kuendelea na kipindi chake cha pili cha Urais.
Cyprian Majura Musiba ambaye alikuwa Mtangazaji wa zamani wa runinga ya Channel Ten na radio ya Magic FM, ni Mkurugenzi wa kampuni ya CZI na Mhariri wa magazeti ya Tanzanite na Fahari yetu.
Tutaendelea kuwajuza.
======
UPDATES; 1445HRS
MAXCENCE MELO AACHIWA BAADA YA KUHOJIWA NA OFISI YA DCI KWA SAA NNE
Mkurugenzi Mtendaji wa Jamii Forums, Maxence Melo ameachiwa bila masharti yoyote na Ofisi ya DCI baada ya kuhojiwa juu ya tuhuma zilizotolewa na magazeti ya Fahari Yetu na Tanzanite kuwa anashirikiana na Polisi, TCRA, Bernard Membe, Balozi Emmanuel Nchimbi, Kanali Iddi Kipingu na Wakili Jonathan Mndeme kupanga njama za kumuua Ndg. Cyprian Musiba. Maxcence amekuwa mtu wa kwanza kuhojiwa saa chache baada ya gazeti kutoa habari hizo.
Amehojiwa kwa Masaa Manne.
Dar es Salaam
11.07.2019
Zaidi, soma;
Tuhuma za mauaji: Nimehojiwa na Polisi, nimetimiza wajibu wangu
Ndugu wana JF na watanzania kwa ujumla, Nachukua fursa hii kuwashukuru wote mlioguswa kusikia nimeitwa na Jeshi la Polisi kwa mahojiano baada ya magazeti mawili leo kunihusisha na linalodaiwa kuwa ‘Genge la Watu wanaopanga mikakati ya kumuua Cyprian Musiba”. Genge hili lilihusisha wanasiasa...www.jamiiforums.com
View attachment 1151111View attachment 1151112
Hii siku ulikasirika Sana Mkuu.Pumbavu kabisa,kwani huyo Musiba si ni binadamu? Hivyo ipo siku lazima atakufa tu kama ilivyo kwa binadamu yeyote. Huyu Musiba ni mchochezi na kwa nini yeye asihojiwe kwa hizo habari ili atoe evidences zote bila makando kando yeyote? Hii nchi viongozi wote mafala tu.
Asimamie hii nchi milele eenh? Mungu wa wote.Duh!!!
Nionyeshe kadi yangu..
Hayo unayotaka niwe sasa subiri nikajiunge nao niwe hivyo.. na mtaisoma namba na kusaga meno humu..
Waambie waje wanipe fomu nijiunge na Mkulu wetu kabla hajamaliza muda wake 2025.
Itabidi katiba ipokee cheo kingine kipya kumpa nguvu Mh. JPM aendelee kusimamia hii nchi milele.
Bwana musiba unavyuna ulichopanda kwa UJINGA WAKO MWENYEWEMkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anahojiwa na ofisi ya Mkurugenzi wa upelelezi wa Makosa ya jinai ( DCI) Jijini Dar Es Salaam muda huu.
Maxence anahojiwa muda mchache baada ya magazeti ya leo ya Tanzanite na Fahari Yetu kuandika kwamba Maxcence Melo kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, TCRA, Balozi Emmanuel Nchimbi na Benard Membe wanapanga njama za kumuua Cyprian Musiba.
Maxence anahojiwa chini ya wakili wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania, Jones Sendodo.
Mbali na Maxence Melo, Magazeti ya Tanzanite na Fahari yetu, yamedai kwamba Mkakati huo wa kumuua Musiba unapangwa pia na baadhi ya watumishi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Watumishi wa Jeshi la Polisi Nchini na Kigogo wa CCM.
Wengine walio kwenye mkakati huo wa kutaka kumuua Musiba ni Balozi wa Tanzania nchini Brazil Dkt. Emmanuel Nchimbi, Benard Membe, Ofisi ya DDP, Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Kanali Kipingu.
Magazeti hayo yamedai watumishi wa TCRA wamefunga account za Mitandao ya Kijamii ya Musiba na kufuatilia Mawasiliano yake.
Gazeti hilo limedai pia kwamba watu hao wanajipanga kifungua kesi nne, Mbili mahakama kuu na mbili mahakama ya Kisutu. Mbali na kesi pia kwamba wana mpango wa kuondoa uhai wake.
Pia Magezeti hayo yamedai kwamba hili Genge linalotaka kumtoa uhai wake, lilikuwa na mkakati wa kuhakikisha wanamuondoa rais Magufuli kupitia baadhi ya wajumbe wanaoingia katika mkutano mkuu wa CCM (NEC) na Kamati kuu(CC), ili asiweze kuendelea na kipindi chake cha pili cha Urais.
Cyprian Majura Musiba ambaye alikuwa Mtangazaji wa zamani wa runinga ya Channel Ten na radio ya Magic FM, ni Mkurugenzi wa kampuni ya CZI na Mhariri wa magazeti ya Tanzanite na Fahari yetu.
Tutaendelea kuwajuza.
======
UPDATES; 1445HRS
MAXENCE MELO AACHIWA BAADA YA KUHOJIWA NA OFISI YA DCI KWA SAA NNE
Mkurugenzi Mtendaji wa Jamii Forums, Maxence Melo ameachiwa bila masharti yoyote na Ofisi ya DCI baada ya kuhojiwa juu ya tuhuma zilizotolewa na magazeti ya Fahari Yetu na Tanzanite kuwa anashirikiana na Polisi, TCRA, Bernard Membe, Balozi Emmanuel Nchimbi, Kanali Iddi Kipingu na Wakili Jonathan Mndeme kupanga njama za kumuua Ndg. Cyprian Musiba. Maxence amekuwa mtu wa kwanza kuhojiwa saa chache baada ya gazeti kutoa habari hizo.
Amehojiwa kwa Saa Nne.
Dar es Salaam
11.07.2019
Zaidi, soma Tuhuma za mauaji: Nimehojiwa na Polisi, nimetimiza wajibu wangu
View attachment 1151111View attachment 1151112