kuna watu wanajituma mpaka unashangaa. Bila kulazimishwa wala kulipwa. Hongera sana ndugu yangu.
Tusimsahau pia brazamen kule kwenye mambo ya kikubwa, naye anajituma sana, tumpongeze pia. teh teh
FD ulipataje hiyo kazi serikalini wakati Ghasia na circular yake ndio inatamba sasa hivi???............ama kweli ndg yangu umeshakuwa kafisadi fulani (joke)
Mac , Tuko wote mzee. Tunajali sana kazi unayoifanya.
FD .. kama alivyouliza Ogah .. sema Mzee imekuwaje ..? au ilikuwa kabla ya circular ya ghasia?