Ipililo
Senior Member
- Dec 19, 2015
- 107
- 83
Iliwachocheaje?vp mbona star tv ili wachochea sana watanzania kipindi cha kampeni na hawajafungiwa.?
au mh.Nepi halioni hilo..?
Unajua Tunaongelea kuchochea nn?
Au ndo elimu za hapa na pale?
Iliwachocheaje?vp mbona star tv ili wachochea sana watanzania kipindi cha kampeni na hawajafungiwa.?
au mh.Nepi halioni hilo..?
Weka mfano wa hizo Checks and balance zilizokiukwa.Kama si dikteta angeheshimu checks and balance.
Yaan ni uzembe mwingine juz serekali imeshindwa kesi mahakaman na gazeti la mwanahalisi ,serekali inadaiwa mamililio leo tena mawio limefungwa badae utashangaa tena serekali imeshindwa kesi wanadaiwa mamilion....Nape tuonee huruma na kod zetu
Amelazimisha bunge kufanya tafrija kama anavyotaka yeye (pengine hata kwa nia nzuri) kinyume na kanuni za checks and balance zinazokataza executive kuingilia bunge.Weka mfano wa hizo Checks and balance zilizokiukwa.
Hapo sawaa kabisa....Hili jambo linapaswa kukemewa kwani huenda kuna njama za kufungia chombo cha habari kisha inapangwa mpango wa kufungua kesi ili wakishinda wagawane pesa.
Inabidi tuchunguze lazima kuna maslahi binafsi hapa.
Nchi ya Uganda walipitisha sheria kuwa "Mtumishi yeyote wa serikali atakayesababisha kesi ambayo itatoa ushindi kwa mshitaki hivyo kuifanya serikali kulipa pesa. Atalipa mtumishi aliyesababisha na siyo serikali"
Hivyo kuna umuhimu na Tanzania tukaliangalia hili. Ni pesa ya walipa kodi.
Hiyo tafrija ni official na kuwa ipo kisheria au kwenye kanuni za bune au huwa ni interests zao wabunge kupongezana????????Na je fedha zilikuwa zimejadiliwa official na bunge Magufuli akazibadilishia matumizi??????????Na kwanini wabunge walitaka kupongezana wao siku moja ambayo pia rais alikuwepo???????????????Amelazimisha bunge kufanya tarfija kama anavyotaka yeye (pengine hata kwa nia nzuri) kinyume na kanuni za checks and balance zinazokataza executive kuingilia bunge.
Ameapisha watu kuwa mawaziri kabla hawajaapishwa kuwa wabunge.
Tafrija ni official ipo kila bunge linapofunguliwa.Hiyo tafrija ni official na kuwa ipo kisheria au kwenye kanuni za bune au huwa ni interests zao wabunge kupongezana????????Na je fedha zilikuwa zimejadiliwa official na bunge Magufuli akazibadilishia matumizi??????????Na kwanini wabunge walitaka kupongezana wao siku moja ambayo pia rais alikuwepo???????????????
Yaan ni uzembe mwingine juz serekali imeshindwa kesi mahakaman na gazeti la mwanahalisi ,serekali inadaiwa mamililio leo tena mawio limefungwa badae utashangaa tena serekali imeshindwa kesi wanadaiwa mamilion....Nape tuonee huruma na kod zetu
Nape nae anarudiaMfenela mkandara kasababisha hasara ya billions kadhaa,
Nape nae anarudia
Endeleen kukariri maishaNae eti anatumbua Jibu!
Mwanahalisi lipo anajisumbua tu
Haaaaaaaaa hapo sasa!Ila hata lile la mkakati lipo vizuri sana kaz kubwa ni kumuongelea Mbowe ,sijui mbowe akiacha siasa watakula wap ??
usitegemee serikali kushindwa kesi kila siku. majipu yanatumbuliwa pia kwa wanasheria wa serikali wanaouza kesi. mafisadi na wapinzani wanaotegemea kununua haki watatumbuliwa moja baada ya meingine.Yaan ni uzembe mwingine juz serekali imeshindwa kesi mahakaman na gazeti la mwanahalisi ,serekali inadaiwa mamililio leo tena mawio limefungwa badae utashangaa tena serekali imeshindwa kesi wanadaiwa mamilion....Nape tuonee huruma na kod zetu