Otorong'ong'o
Platinum Member
- Aug 17, 2011
- 39,166
- 28,817
Unazungumziaje ya 2030 angali 2025 hakukuwa na uchaguzi bali mauaji makubwa yaliwaweka madarakani wauaji ..Naunga mkono hoja
Napongeza DCEA
PPP
TUME YA MADINI
TPA
TRC
HIZI TAASISI ZINAKWENDA KUIBEBA TENA CCM KWA MARA NYINGINE NA INASHINDA MAPEMA TU
Kwasasa yafuatayo yanapaswa kuzungumzwa.
1. Nani alitoa Order ya shoot to kill
2. Maiti za Ndugu zetu zipo wapi tuzike
3. Waliohusiks wote na mauaji makubwa ya Kihistoris wawajibishwe.
4. Uchaguzi mkuu urudiwe
5. Katiba mpya