Mawazo yananiua!

Kwenye mapenzi hayo ni awaida tu. waweza ua na hela nyingi ukamtokea msichana akakupotezea na hela zako kisha akaenda kwa kabwela kujipendekeza, Nimepata ujasiri huu baada ya kusongwa na mawazo nikaona bora nishee na members labda wanaweza nisaidia kwa njia yoyote ile.
 
Pole kaka, sometimes s*t happens. Kuna watu washawahi kupasukiwa na condoms na majanga kibao. Usife moyo kwanza kapime ujue ur current status. Pia ingawa mie sio dr ila wasemavyo wenyewe men wana less chance ya kuambukizwa than wanawake kwa maumbile yao. Naamini hujaambukizwa ila this is a wake up call for you. Sali/swali sana... talk to your God and ask for his forgiveness and protection, that in turn itakupunguzia mawazo ukijikabidhi maisha yako kwa Mungu. Ingawa limeanza vibaya but pengine jambo hili laweza kukufanya uwe the best person you can be forever. Remember no one will leave this world alive... Jipe moyo u r okay
 
JF Ni kichaka cha wanafiki Tu,utadhani most ya waliochangia hawaishi mitaani kama kila mmoja anatumia kinga,mbona graph inapanda daily?

Mleta Uzi nakushauri upige Moyo konde usiwe na stress saana maana haisaidii kikubwa nenda kapime after 3months lkn hakikisha unamlinda huyo uliyenae kwa sasa.
 
Ahsante ndugu.
 
Ahsante mdau. Leo ndo nimepanga nimpeleke pahala mbali na nyumbani afu nimfungukie juu ya haya maswahibu. Sielewi atayapokeaje, Sijui nitaanzaje anzaje. Daah! What if kesho nikipima nikikuta nimeambukizwa, sijui ndio tutaachana, sijui tutaishi vipi! maswali mengii kichwani.
 
nakuomba please!
usimwambie.
nakuomba!!
nenda kapime kama hujaathirika piga kimya!
jifunze kuishi kwa uaminifu
it hurts!!
 
sasa umefanya jana unataka upime leo jaman hii manake nin kwamba ujapata majibu ya wadudu ama vp labda ukapme uzito ndio utakuw umepungua kwa kaz uloifanya na huyu mwanadada
 

umpeleke nan mkeo ama huyo barmaid?
duu na mungu akuongoze ktk hlo ni zaid ya ujasir unaoitajika
 
jamaa alivyoongea nikajua labda ni coordinator wa CTC. lakini post exposure prophylaxis hutolewa hata kwa waliobakwa, waliopasukiwa condom na watu wote walio kwenye risk ya kupata ngoma. wenye risk kubwa walikuwa wanapewa dawa tatu na ndogo dawa mbili
 
Yangekuwa masaa 72 hayajapita ningekuambia uende angaza wangeweza kukupa chanjo incase
 
Punguza mawazo..Subiri miezi mitatu halaf ukapime unaweza ukawa umesalimika na AIDS TO TRADE..Afu cku nyingine be carefull..poor man!
 



naona ban inanukia ngoja nirudi!
 

naona ban inanukia tena
 
Alazwe pema peponi kamandaaaah.....,starehe mnazpenda ila mwsho wake ni mbaya weng wameteketea kwa kuendekeza.....,
Ayaaaah! et nmekalia kuimba nikaacha kutoa ushaur sory..kapime dogo kumbka m2 ule do nae kama ni memory ni GB kubwa pre-caution's best rather dan taking action b4,ucwaze!
 
Subiri muda kidogo upite ukapime na usijihusishe kimapenzi na mtu mwingine kwa kipindi hiki
 
Atakuwa muumini wa kanisa uchwara huyu, anayejihisi mtakatifu kwa sababu yeye hazini, ila anamuibia muajiri muda kwenda kwenye maombi na anapiga dili la kutumia per diems ama mali za muajiri kwa kazi za kanisani.
 
Dah kama movie flani, pole sana mkuu subiri kama mwezi hivi ndio ukapime wadudu wanaeza onekana km wapo!

But huwezi jua unao au huna ni 50/50, all men are poligamists by nature
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…