Mawazo Yako Yanatawala Maisha Yako

Mawazo Yako Yanatawala Maisha Yako

ERTUGRUL BEY

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
11,631
Reaction score
21,699
Screenshot_20250322_181342_Google.jpg


Mawazo yako ndio fomula ambayo yatafanya maisha yako yawe ya namna gani

Kila wazo ni picha halisi ambayo inaenda kuhifadhiwa katika subconscious mind yako kwa ajili ya matumizi ya baadae

Kila wazo ambalo lipo katika mfumo wa picha ndio litakuwa mustakabali wa kufuatwa au ramani ya kufuatwa katika kufikia mafanikio yako

Na mawazo yako yatafanyiwa kazi mpaka ufikie lengo lako kamili ambalo huwa unaliwaza kila siku

Ni mafundisho ya baadhi ya dini kwamba hakika unakuwa vile unavyowaza

Ameandika mwanafilosofa wa zamani wa Rome Marcus Aurelis " maisha yetu yanatokana na mawazo tuliyokuwa nayo"

Mwanasaikolojia maarufu William James wa Havard anasema "imani inaweza kuifanya picha kwenye mawazo yetu kuwa ni kweli"

Your mental pictures are completed into reality by being converted into power by your subconscious

Ni hayo tu!
 
View attachment 3279688

Mawazo yako ndio fomula ambayo yatafanya maisha yako yawe ya namna gani

Kila wazo ni picha halisi ambayo inaenda kuhifadhiwa katika subconscious mind yako kwa ajili ya matumizi ya baadae

Kila wazo ambalo lipo katika mfumo wa picha ndio litakuwa mustakabali wa kufuatwa au ramani ya kufuatwa katika kufikia mafanikio yako

Na mawazo yako yatafanyiwa kazi mpaka ufikie lengo lako kamili ambalo huwa unaliwaza kila siku

Ni mafundisho ya baadhi ya dini kwamba hakika unakuwa vile unavyowaza

Ameandika mwanafilosofa wa zamani wa Rome Marcus Aurelis " maisha yetu yanatokana na mawazo tuliyokuwa nayo"

Mwanasaikolojia maarufu William James wa Havard anasema "imani inaweza kuifanya picha kwenye mawazo yetu kuwa ni kweli"

Your mental pictures are completed into reality by being converted into power by your subconscious

Ni hayo tu!
1742629206423.jpg
 
Kauli hiyo inahusiana na Mithali 23:7 katika Biblia, ambayo inasema:

"Kwa maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo." (Mithali 23:7, SUV)



Maana ya mstari huu ni kwamba mawazo ya mtu yanaathiri tabia yake na maisha yake kwa ujumla. Anachofikiria ndani yake ndicho kinachoamua mtazamo wake, maamuzi yake, na hatimaye hatima yake.
 
Sometimes pia mazingira yanayokuzunguka yanachangia hatma ya maisha yako pia. Hata kama una mawazo ya kuchukua balon dior hauwezi kufanikiwa ukiwa unacheza simba au yanga. Hata kama una mawazo ya kuwa tajiri namba moja duniani hauwezi kufanikiwa ukifanya uwekezaji wako Tanzania. Mawazo pia yanatakiwa kukutana na fursa
 
Mawazo bila vitendo ni bure kabisa.... Watumiaji wa madawa ya kulevya wanawaza hela hadi wanaota ndoto za hela lakin wanazidi kulowea kwenye umasikini hivyo huu utafiti wenu kaufanyeni upya
Nadhan unatuelewa vibaya,haimaanishi kwamba kuwaza tu peke yake ndio kutafanya ufanikiwe bila vitendo

Bali mawazo yako ndio yanakupa msukumo wa kufanya hayo unayoyawaza na mwisho wa siku unafikia malengo yako

Mathalani unataka kuwa mchoraji mzuri basi utakuwa na picha akilini mwako siku moja ufike mbali na uwe na event ya kuwaalika watu waje kuona maonyesho yako,utafanya jitihada kujifunza zaidi kuhusu art hiyo na kufanya bidii uchore picha nzur zaidi ili ziwavutie wengi

Subconscious mind ndiyo engine inayokupa msukumo wa kuyaishi yale ambayo unayawaza na kuyataka kila siku katika maisha yako

Ndio maana unaambiwa kuwa makini na kile unachowaza mara kwa mara kwani mwisho wa siku kinaenda kwenye subconscious mind na kufanywa kuwa reality
 
View attachment 3279688

Mawazo yako ndio fomula ambayo yatafanya maisha yako yawe ya namna gani

Kila wazo ni picha halisi ambayo inaenda kuhifadhiwa katika subconscious mind yako kwa ajili ya matumizi ya baadae

Kila wazo ambalo lipo katika mfumo wa picha ndio litakuwa mustakabali wa kufuatwa au ramani ya kufuatwa katika kufikia mafanikio yako

Na mawazo yako yatafanyiwa kazi mpaka ufikie lengo lako kamili ambalo huwa unaliwaza kila siku

Ni mafundisho ya baadhi ya dini kwamba hakika unakuwa vile unavyowaza

Ameandika mwanafilosofa wa zamani wa Rome Marcus Aurelis " maisha yetu yanatokana na mawazo tuliyokuwa nayo"

Mwanasaikolojia maarufu William James wa Havard anasema "imani inaweza kuifanya picha kwenye mawazo yetu kuwa ni kweli"

Your mental pictures are completed into reality by being converted into power by your subconscious

Ni hayo tu!
Basi kuanzia Leo mimi ni billgate😝
 
Sometimes pia mazingira yanayokuzunguka yanachangia hatma ya maisha yako pia. Hata kama una mawazo ya kuchukua balon dior hauwezi kufanikiwa ukiwa unacheza simba au yanga. Hata kama una mawazo ya kuwa tajiri namba moja duniani hauwezi kufanikiwa ukifanya uwekezaji wako Tanzania. Mawazo pia yanatakiwa kukutana na fursa
Kimsingi mazingira yanachangia kufanya programming ya mawazo..

Yaana mwenye akili timamu hawezi waza balloon d or akiwa simba au yanga, Kuna sababu zinazotufanya tuwaze..

Na mawazo yakishageuka kuwa nguvu yatakubadilishia mazingira na kukupa usaidizi wa kuyatimiza.

You think small and you will remain small for life.. Fid
 
Back
Top Bottom