Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Ninapolalamikia uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita, nalalamika kutokana na kazi yangu.
Maeneo mengi wamepita bila kupingwa, hali iliyofanya walimu tukose namna ya kuwa wasimamizi wa vituo ili tupate hela ya kununua sugar, au walau kupiga bia mbili tatu.
Tumepata hela kidogo kwenye uandikishaji, japo muamko ulikuwa mdogo, ila uzuri tunalipwa kwa siku na sio kwa idadi ya watu tunaoandikisha.
Next time plz nyie wadau wa vyama vya siasa msisuse mapema, walau msuse siku ya uchaguzi yenyewe ili sisi tuwe tayari tushapewa posho.
Maisha maguu jamani.
Mwalimu wenu
Maeneo mengi wamepita bila kupingwa, hali iliyofanya walimu tukose namna ya kuwa wasimamizi wa vituo ili tupate hela ya kununua sugar, au walau kupiga bia mbili tatu.
Tumepata hela kidogo kwenye uandikishaji, japo muamko ulikuwa mdogo, ila uzuri tunalipwa kwa siku na sio kwa idadi ya watu tunaoandikisha.
Next time plz nyie wadau wa vyama vya siasa msisuse mapema, walau msuse siku ya uchaguzi yenyewe ili sisi tuwe tayari tushapewa posho.
Maisha maguu jamani.
Mwalimu wenu