nelvine
JF-Expert Member
- Nov 8, 2015
- 1,109
- 1,855
Habari wanajamvi, msaada wa mawazo yenu hapa.
Nilikuwa nina wazo la bihashara ya wasichana wa kazi ( house girls) mwaka jana, lilikua niwe nawatafuta mabinti nawapa mafunzo kiasi jinsi ya kufanya kazi na kujifunza ujuzi mdogo mdogo, pia niwachambue wale bora na kuwatafutia kazi za ndani.
Lengo kuu ni mimi kupata kipato, pia kuwasaidia na wao pia. Lakini pia nitasimamia baadhi ya haki zao za msingi wawe wanazipata toka kwa waajiri wao( nakua mwamvuli).
Sasa kwasasa nimeanza kuliendesha hili wazo, lakini changamoto kubwa napata mabinti wadogo umri kuanzia miaka 12 hadi 17, na wengi hawajawahi kwenda shule kabisa, na baadhi yao wana historia ya kuishi kwenye ndoa.
Japo wakifika kwangu nawapa mafunzo ya mwezi mzima na kuzijua baadhi ya tabia zao na kuwafundisha angalau kusoma na kuandika.
Je, hili wazo langu kisheria lipoje?
Je, nipo halali kisheria kuwatafutia kazi hawa mabinti? Maana wanatoka kwenye mazingira magumu sana.
Hadi sasa ninao 20 nawapa mafunzo na kuzijua tabia zao, wakiwa na vigezo nawatafutia kazi.
NB: Wana ruhusa za wazazi wao.
Nilikuwa nina wazo la bihashara ya wasichana wa kazi ( house girls) mwaka jana, lilikua niwe nawatafuta mabinti nawapa mafunzo kiasi jinsi ya kufanya kazi na kujifunza ujuzi mdogo mdogo, pia niwachambue wale bora na kuwatafutia kazi za ndani.
Lengo kuu ni mimi kupata kipato, pia kuwasaidia na wao pia. Lakini pia nitasimamia baadhi ya haki zao za msingi wawe wanazipata toka kwa waajiri wao( nakua mwamvuli).
Sasa kwasasa nimeanza kuliendesha hili wazo, lakini changamoto kubwa napata mabinti wadogo umri kuanzia miaka 12 hadi 17, na wengi hawajawahi kwenda shule kabisa, na baadhi yao wana historia ya kuishi kwenye ndoa.
Japo wakifika kwangu nawapa mafunzo ya mwezi mzima na kuzijua baadhi ya tabia zao na kuwafundisha angalau kusoma na kuandika.
Je, hili wazo langu kisheria lipoje?
Je, nipo halali kisheria kuwatafutia kazi hawa mabinti? Maana wanatoka kwenye mazingira magumu sana.
Hadi sasa ninao 20 nawapa mafunzo na kuzijua tabia zao, wakiwa na vigezo nawatafutia kazi.
NB: Wana ruhusa za wazazi wao.