mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
watajeKweli hapo Jk kachemsha na yeyd anaiuwa ccm kwa mikono yake mwenyewe. Mbona kuna wabunge wengi sana bungeni?
watajeKweli hapo Jk kachemsha na yeyd anaiuwa ccm kwa mikono yake mwenyewe. Mbona kuna wabunge wengi sana bungeni?
waacheni wafanye kazi nyie mmefanya nn kusaidia taifa?,, mnaoongeea sana.
Wakuu jamaa ndo kamaliza kazi ya kitaifa.Tuangalie watakao mwangusha katika utawala wake wa kumalizia.Nionavyo mm hawa hamna kitu.J. Makamba, A. Malima, Prof. Maghembe,Kawamba, ...Wasira, Mwinyi, Twendelee
Safi sana hata sisi tunataka aangushwe ivoivo kwani wa kumuinua ni lowasa na kesha korofishana nae
Mkuu una mawazo chanya mara nyingi humu JF watu wanaongoza kwa kulaumu na kupond kila anachofanya JK lakini ukichunguza sana utakuta huu ni ugonjwa tu wa kisaikolojia ambao unaambatana na tatizo la malezi waliyoyapata ya hovyohovyo wakiwa wadogo wanajihisi kuwa wanaweza wao kufanya kila kitu kikaenda sahihi,lakini mtu anaelaumu sana akaitwa na kupewa yeye Uwaziri atafanya madudu mara mia ya hayo tuloyaona tuwaache Mawaziri wetu wafanye kazi walopewa na Raisi wetu tusubiri tuone na si kulaumu tu!wakuu kwa ambao ni wapya ni heri kuwasubiria tuone utendaji wao, si busara kumsakama mtu bila ya hata kujua uwezo wake vyenginevyo itakua kama mipasho isiyo na mwisho jamvini, bcs tukipenda tusipende pilato ndo keshaamua kuwateua na cc km raia hatuna budi kukubali.
Link:Abdallah Omar Kigoda - Wikipedia, the free encyclopediaAbdallah Omar Kigoda is a Tanzanian politician and a Member of Parliament in the National Assembly of Tanzania.
Kigoda is thought to be behind many financial scams Tanzania has ever seen. Under former President Benjamin Mkapa, Kigoda as a member of inner sanctum made a lot of money thanks to being easily used by the regime and some Indian bogus investors.[citation needed]
He served for a time as Minister of State in the President's Office for Planning and Privatisation. He overwhelmingly won the Chama Cha Mapinduzi (CCM) nomination for Handeni constituency prior to the 2005 parliamentary election, receiving 1,216 votes while the nearest of his four opponents for the nomination received 94.[1]
Kigoda, Basil Pesambili, Juma Ngasongwa, Rostam Aziz, Lowassa the then PM and others are said to be behind EPA scam under which Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania's ruling party stole billions of shillings from the central bank to finance its elections that saw Jakaya Kikwete win.
Title umekosea, hakuna wa kumwangusha bali jamaa mimi nimebaki namcheka tu hahahahahhahahah maana capacity yake ni ndogo kuwa president alidhani kuna kucheka cheka kumbe lazima uweze ku deliver, umemuona alivyokuwa amekausha koo ? hana hamu ingekuwa ni bar angeishia bila kuaga na bado lazima tummalize hivi hivi anajuta kwa nini alililia urais. ngemwachia Dr. wa ukweli sasa hivi angekuwa anatabasamu na wananchi, sasa hivi JIk anasema tunamwonea watanzania wote eti tumwonee mtu mmoja. hahahahahhahahhahhhahah. So Kajiangusha mwenyewe
Msanii haachi usanii...na anza na huyu hapa:
From Wikipedia, the free encyclopedia
- Waziri wa viwanda na biashara, Dr Abdallar .O. Kigoda
Link:Abdallah Omar Kigoda - Wikipedia, the free encyclopedia