Mawaziri watakaomwangusha JK

waacheni wafanye kazi nyie mmefanya nn kusaidia taifa?,, mnaoongeea sana.
 
Thanks every body cince cdm is going 2win without massive fight of citizens of this good Nation.
 
Wakuu jamaa ndo kamaliza kazi ya kitaifa.Tuangalie watakao mwangusha katika utawala wake wa kumalizia.Nionavyo mm hawa hamna kitu.J. Makamba, A. Malima, Prof. Maghembe,Kawamba, ...Wasira, Mwinyi, Twendelee


JK mbona alishaangushwa zamani
 
Tatizo sio mawaziri tatizo ni kikwete mwenyewe, kikwete ni domo tuu ila kivitendo yuko chini sana. Yote ya wezekana bila ccm na kikwete.
 
wakuu kwa ambao ni wapya ni heri kuwasubiria tuone utendaji wao, si busara kumsakama mtu bila ya hata kujua uwezo wake vyenginevyo itakua kama mipasho isiyo na mwisho jamvini, bcs tukipenda tusipende pilato ndo keshaamua kuwateua na cc km raia hatuna budi kukubali.
Mkuu una mawazo chanya mara nyingi humu JF watu wanaongoza kwa kulaumu na kupond kila anachofanya JK lakini ukichunguza sana utakuta huu ni ugonjwa tu wa kisaikolojia ambao unaambatana na tatizo la malezi waliyoyapata ya hovyohovyo wakiwa wadogo wanajihisi kuwa wanaweza wao kufanya kila kitu kikaenda sahihi,lakini mtu anaelaumu sana akaitwa na kupewa yeye Uwaziri atafanya madudu mara mia ya hayo tuloyaona tuwaache Mawaziri wetu wafanye kazi walopewa na Raisi wetu tusubiri tuone na si kulaumu tu!
 
Lukuvi is a shuleless, hana uelewa wowote, that position aliyewekwa inahotaji a lawyer perse... jamaa ni mbumpumbu sana kwa totoz...
 
Msanii haachi usanii...na anza na huyu hapa:
  1. Waziri wa viwanda na biashara, Dr Abdallar .O. Kigoda
From Wikipedia, the free encyclopedia
Abdallah Omar Kigoda is a Tanzanian politician and a Member of Parliament in the National Assembly of Tanzania.

Kigoda is thought to be behind many financial scams Tanzania has ever seen. Under former President Benjamin Mkapa, Kigoda as a member of inner sanctum made a lot of money thanks to being easily used by the regime and some Indian bogus investors.[citation needed]

He served for a time as Minister of State in the President's Office for Planning and Privatisation. He overwhelmingly won the Chama Cha Mapinduzi (CCM) nomination for Handeni constituency prior to the 2005 parliamentary election, receiving 1,216 votes while the nearest of his four opponents for the nomination received 94.[1]

Kigoda, Basil Pesambili, Juma Ngasongwa, Rostam Aziz, Lowassa the then PM and others are said to be behind EPA scam under which Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania's ruling party stole billions of shillings from the central bank to finance its elections that saw Jakaya Kikwete win.
Link:Abdallah Omar Kigoda - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Title umekosea, hakuna wa kumwangusha bali jamaa mimi nimebaki namcheka tu hahahahahhahahah maana capacity yake ni ndogo kuwa president alidhani kuna kucheka cheka kumbe lazima uweze ku deliver, umemuona alivyokuwa amekausha koo ? hana hamu ingekuwa ni bar angeishia bila kuaga na bado lazima tummalize hivi hivi anajuta kwa nini alililia urais. ngemwachia Dr. wa ukweli sasa hivi angekuwa anatabasamu na wananchi, sasa hivi JIk anasema tunamwonea watanzania wote eti tumwonee mtu mmoja. hahahahahhahahhahhhahah. So Kajiangusha mwenyewe

Utakufa nacho kijiba cha roho, kuwa Rais huchaguwi, ingekuwa anachaguwa mbona Dokta wa Kanoni hakujichaguwa?

Hiyo ripoti ya CAG mngeijuwa isingekuwa ubunifu wake? wacha porojo za baa.
 
achemshe mara ngapi?tangu anaingia Jk aliishachemsha tayari.kama ni mgonjwa yupo ICU tusubirie tuone kama atapona au laa
 
Msanii haachi usanii...na anza na huyu hapa:
  1. Waziri wa viwanda na biashara, Dr Abdallar .O. Kigoda
From Wikipedia, the free encyclopedia

Link:Abdallah Omar Kigoda - Wikipedia, the free encyclopedia

Kwa hapo alipowekwa sitashangaa akiingia kwenye list ya matajiri wakubwa East Africa baada ya kumaliza term yake jamaa ni mwizi mzoefu.
Kikwete sijui anafikiria nini?? Mtu alishaiba lakini leo unamrudisha sehemu nyeti ambayo atajitwalia utajiri zaidi...Nonsense.
 
cdm leo wanamkutano nmc Arusha baraza la mawaziri jipya ni moja ya ajenda.slaa atatoa utumbo wa kila waziri ndo utapojua ccm hakuna msafi bora amrudishe mamvi kichwani
 
humu jf kichefuchefu tu kuna watu kazi yao kulaumu tu,km ni watabiri waseme tujue.ny******a nyie
 
Back
Top Bottom