watamwangusha kivipi?Title umekosea, hakuna wa kumwangusha bali jamaa mimi nimebaki namcheka tu hahahahahhahahah maana capacity yake ni ndogo kuwa president alidhani kuna kucheka cheka kumbe lazima uweze ku deliver, umemuona alivyokuwa amekausha koo ? hana hamu ingekuwa ni bar angeishia bila kuaga na bado lazima tummalize hivi hivi anajuta kwa nini alililia urais. ngemwachia Dr. wa ukweli sasa hivi angekuwa anatabasamu na wananchi, sasa hivi JIk anasema tunamwonea watanzania wote eti tumwonee mtu mmoja. hahahahahhahahhahhhahah. So Kajiangusha mwenyewe
Nimeamua kitafuta mkopo bank ili nichimbe kisima, maana najua with Prof Maghembe maji hakuna!
vimon like thisNimeamua kitafuta mkopo bank ili nichimbe kisima, maana najua with Prof Maghembe maji hakuna!