and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,103
Wenzetu wanaangalia kichwani amebeba nini mkuu.Botswana ni moja ya nchi zenye wanawake wenye misambwanda duniani.
Nimefungua uzi nikitarajia hilo, bahati mbaya sijakuta hivyo.
Sisi Tanzania kama taifa kuendekeza shepu wala hakujatufikisha hapa, ila kujuana kwingi ndiyo kumetufikisha hapa tulipo.Wenzetu wanaangalia kichwani amebeba nini mkuu.
Kuendekeza shape sijui na rangi kama taifa ndiyo kumetufikisha hapa tulipo hatujui tunaenda wapi hata aliyeshika usukani haelewi uelekeo yupo bora liende.
Kwa hyo Kumanisha aliyepo madarakan yupo pale kwakuwa anashepu na macho flani hv 🤭🤭Wenzetu wanaangalia kichwani amebeba nini mkuu.
Kuendekeza shape sijui na rangi kama taifa ndiyo kumetufikisha hapa tulipo hatujui tunaenda wapi hata aliyeshika usukani haelewi uelekeo yupo bora liende.
Wa chaputa au?😂😂Makamu Mwenyekiti
Huku Wema Whozu anabaruza ghetto tuHuyo miss Botswana alifika hadi miss world number 2, she’s Brilliant. Ndiye anashikilia taji la miss Africa.
Msambwanda ni kigezo cha kuongoza wizara?Botswana ni moja ya nchi zenye wanawake wenye misambwanda duniani.
Nimefungua uzi nikitarajia hilo, bahati mbaya sijakuta hivyo.
Wema ni empty setHuku Wema Whozu anabaruza ghetto tu
Nani kasema ni kigezo cha kuongoza vijana?Msambwanda ni kigezo cha kuongoza wizara?
Hii nayo kali so mambo yako kama yalivyo sababu ya kuendekeza shape na rangi?? Zipi na gani hizo?Wenzetu wanaangalia kichwani amebeba nini mkuu.
Kuendekeza shape sijui na rangi kama taifa ndiyo kumetufikisha hapa tulipo hatujui tunaenda wapi hata aliyeshika usukani haelewi uelekeo yupo bora liende.
Kasoma Ujerumani yule ujueLe Profeseri Karibu Hata computer sidhani anaweza kutumia
Mkuu nadhani hapa kwetu kwa mtazamo wangu watu wanaongeza tuu miaka ila wengi wao akili inakuwa bado na ndio maana 30yrs anajiita mtoto mdogo sijajua shida ni nini labda mfumo au malezi. Hiyo 10m umeenda mbali akiweza tuu kukaa geto akanunua sabufa anaona tayari.Vijana wa tanzania wanakitu gani? Kijana wa miaka 26 hajawahi kupata hata milion 10 ya kufanya kazi ndio atuongoze? Upuuzi tu huo na kuongeza wezi wa raslimali za nchi