Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Hawa wabunge wa Baraza la wawakilishi kila kukicha wako bize kutuonyesha wao hawataki mambo ya kuharibu mila na desturi zao za kizanzibari
haya imekuwaje wameamua kutangaza pombe?
Tazama hizi picha:
MICHUZI: sbl yatumia zadi ya mil 65 kuadhamini mechi ya wabunge na baraza la wawakilishi zanzibar.
tena kwa kuonyesha ushabiki wa kutangaza pombe wao wameamua kuvaa jezi zenye kutangaza wakti wenzao toka bara waliamua kuvaa traksuti zilizokuwa plain
Huu ndio unafiki wa BLW wa zanzibar
Mtu anaondoka nyumbani kwake asubuhi anamwaga mkewe na n=kumpa instructions ahakikishe watoto wameenda madrasa kusoma
ikifika mchana mtu huyo huyo anavaa jezi kutangaza pombe
Jioni akirudi anataka kujua kama watoto walienda madrasa
then kesho yake wanatangaza kuwa mila na desturi za mzanzibari zinaingiliwa na ni moja kati ya kero za muungano
hawa ndio wanasiasa wa Zanzibar.
nimeshindwa kupost picha nisaidieni
haya imekuwaje wameamua kutangaza pombe?
Tazama hizi picha:
MICHUZI: sbl yatumia zadi ya mil 65 kuadhamini mechi ya wabunge na baraza la wawakilishi zanzibar.
tena kwa kuonyesha ushabiki wa kutangaza pombe wao wameamua kuvaa jezi zenye kutangaza wakti wenzao toka bara waliamua kuvaa traksuti zilizokuwa plain
Huu ndio unafiki wa BLW wa zanzibar
Mtu anaondoka nyumbani kwake asubuhi anamwaga mkewe na n=kumpa instructions ahakikishe watoto wameenda madrasa kusoma
ikifika mchana mtu huyo huyo anavaa jezi kutangaza pombe
Jioni akirudi anataka kujua kama watoto walienda madrasa
then kesho yake wanatangaza kuwa mila na desturi za mzanzibari zinaingiliwa na ni moja kati ya kero za muungano
hawa ndio wanasiasa wa Zanzibar.
nimeshindwa kupost picha nisaidieni