maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,144
- 15,144
Aaaaaaaaaaaaaaaaaah.....hapo wataharibuHahahaah nadhani baada ya semina elekezi hii fukuzafukuza itapungua
Aaaaaaaaaaaaaaaaaah.....hapo wataharibuHahahaah nadhani baada ya semina elekezi hii fukuzafukuza itapungua
...
Kweli hawa watendaji wa serikali ya awamu ya 5 pamoja na mkuu wao, mzee wa 'pushups' wanaweza kuingizwa kwenye Guiness World records kutokana na 'vioja' vyao!
Imekuwa vyema Magufuli ameligundua hilo na akaona awape semina hiyo elekezi ...!
Jamaa walizungusha mikono hadi leo bado akili zinazunguka tuuuu hadi wamechanganyikiwa
Mh. Magufuli hawa ndio wale mahodari wa kudokoa mstari mmoja wa biblia na kuufanyia kazi badala ya kuangalia essence! Yaani Rais asifanye kazi kwa kuwa alisema hamna semina elekezi? Humuhumu mmekuwa mnapiga kelele ooh mawaziri wanakosea na kweli esp. kufukuza wafanyakazi bila mpangilio sasa anawaita kuwaelekeza bado mnalalamika, what do you really want ? Ukweli kabisa hamsomeki!
Muhimu sana , maana baadhi ya Mawaziri hawajawahi kuwa watumishi wa ummaWakati akitangaza Baraza la Mawaziri, Rais Magufuli alisema hakuna haja na hakutafanyika semina elekezi kwao na atakayeshindwa kufanya kazi bila semina elekezi ajiondoe mwenyewe.
Hata hivyo Ikulu imeona umuhimu wa semina hiyo na imeandaa semina elekezi kwa mawaziri wote. Semina hiyo inatarajia kufanyika kesho Alhamisi, Ikulu jijini Dar es salaam.
Tofauti ni kwamba semina elekezi ya JK ilifanyika Ngurdoto, Arusha lakini semina elekezi ya Magufuli inafanyikia Dar es salaam.
Inadaiwa waandaaji wa Semina hii ni Tume ya Maadili
Mdau wiki 2 zilizopita iliripotiwa hiiSerikali yaanza kutoa semina elekezi kwa maafisa watendaji wakuu wa serikali, maafisa waandamizi wa serikali kuu... Simu.TV - HABARI - FEBRUARI 8 | CH10 | FacebookSemina Elekezi au Baraza la Mawaziri? By the way, Rais kukutana na wasaidizi wake kuwaeleza nini anataka haimaanishi kuwa hiyo ni semina
Tume ya maadili wanataka kutoa seminar kwa mawaziri juu ya kuzingatia sheria kazi sababu timuatimua inayofanywa na mawaziri imezidi nyingine hazizingatii sheria hivyo wanahisi baadae serikali itajikuta na mzigo wa kulipa fidia iwapo wengine watagundulika kuwa walionewa. Kila waziri akilala anawaza kesho amtimue nani ili magufuri amuone kwamba mchapa kazi. Na akishampata wa kumtimua fasta anaita vyombo vya habari. Nashangaa kwenye Kila kikao ambapo jipu litatumbuliwa hapohapo kuna waandishi hukosi kuona kinasa sauti cha milardayo.com wanakipenda sana na kukitumia maana habari inarushwa fasta mtandaoni na kwenye instagram na twitter page za milardayo. Nilishangaa siku ile mwigulu nchemba kaenda kutumbua jipu kule machinjioni usiku saa kumi na mvua inanyesha lakini wakati anaongea kuna kinasa sauti cha milardayo.com nikasema duh hii kali. Siku alipoenda kwenye mgogoro was wakulima mvomero nikashangaa muda huohuo yeye mwenyewe nchemba kamtumia picha milardayo kwenye twitter page na kumwambia milardayo tayari nimewasili tukioni mvomero. Picha kibao. Sahivi wana staili ya kutembea na wapiga picha wao kabisa. Uwaziri mtamu sana kumbe.Ila wengine wanakurupuka mno katika timuatimua.Wakati akitangaza Baraza la Mawaziri, Rais Magufuli alisema hakuna haja na hakutafanyika semina elekezi kwao na atakayeshindwa kufanya kazi bila semina elekezi ajiondoe mwenyewe.
Hata hivyo Ikulu imeona umuhimu wa semina hiyo na imeandaa semina elekezi kwa mawaziri wote. Semina hiyo inatarajia kufanyika kesho Alhamisi, Ikulu jijini Dar es salaam.
Tofauti ni kwamba semina elekezi ya JK ilifanyika Ngurdoto, Arusha lakini semina elekezi ya Magufuli inafanyikia Dar es salaam.
Inadaiwa waandaaji wa Semina hii ni Tume ya Maadili
Huyo ndio yule alimtumbua mkuu wa chuo cha utumishi wa umma bila ganzi? Hahaha nilicheka lakini pia nilihuzunika mzee katumbuliwa jipu live hapohapo huku akiwa amekaa meza kuu kama mkuu wa chuo. Ili mradi tu social media ipate taarifa haraka. Kwanini asimfukuze kwa barua kimyakimya?Ni kweli maana kina Kairuki wanatumbua bila staha..........
Alinihuzunisha sana huyu dada. Kumtoa ilikuwa sawa, ila angemtonya aondoke...Ni kweli maana kina Kairuki wanatumbua bila staha..........
Serikali yaanza kutoa semina elekezi kwa maafisa watendaji wakuu wa serikali, maafisa waandamizi wa serikali kuu... Simu.TV - HABARI - FEBRUARI 8 | CH10 | FacebookWakati akitangaza Baraza la Mawaziri, Rais Magufuli alisema hakuna haja na hakutafanyika semina elekezi kwao na atakayeshindwa kufanya kazi bila semina elekezi ajiondoe mwenyewe.
Hata hivyo Ikulu imeona umuhimu wa semina hiyo na imeandaa semina elekezi kwa mawaziri wote. Semina hiyo inatarajia kufanyika kesho Alhamisi, Ikulu jijini Dar es salaam.
Tofauti ni kwamba semina elekezi ya JK ilifanyika Ngurdoto, Arusha lakini semina elekezi ya Magufuli inafanyikia Dar es salaam.
Inadaiwa waandaaji wa Semina hii ni Tume ya Maadili
Nyie ndio mlitaka kupewa nchi wakati mna onea aibu wezi?Alinihuzunisha sana huyu dada. Kumtoa ilikuwa sawa, ila angemtonya aondoke...