Sema mamlaka za taifa uwezo umevamiwa ungeeleweka, huo mwingine ni ule uzalendoaslahi. Na sii vinginevyo.Wakuu
Ni wazi shairi Mbowe si gaidi maana tulitegemea ushahidi utolewe mahakamani na kesi iishe mapema tu
Hawa mawakili wakiongozwa na Peter Kibatala wamekuwa wakihoji mambo madogo kabisa yasiyokuwa na msingi wowote katika kesi hii
Walituaminisha iko kidubwana kinachoitwa PGO kinaenda kumaliza hii kesi ndogo kumbe imechelewesha kesi yenye msingi
Wamekuwa wakihoji maswali ya vyakula na vinywaji kama vile mo energy mara nani alilipia nk
Lakini pia waliigomea mahakama kuu division ya makosa ya jinai kwamba haina hadhi ya kujudge kesi hii ya mbowe...yaani hata hili kweli walikuwa hawalijui!!?
Walishauri mbowe agomee yule jaji wa kwanza na akajitoa kusikiliza kesi hiyo, sasa hata huyu aliyeanza kuisikiliza amejiengua
Kwa mwenendo wa mawakili hawa naiona hii kesi inaenda kuishia kubaya kwani uwezo wao ni mdogo kulinganisha na kesi hii
Ni vema Tundu lissu arejee kuisimamia ili kumnusuru mwenyekiti