Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Ccm ndiyo mdudugani au ugonjwa gani hapa nchini?Sawa
Nitoleee usisiemu wako hapa
Ccm ndiyo mdudugani au ugonjwa gani hapa nchini?Sawa
Nitoleee usisiemu wako hapa
nashindwa kuelewa au majaji na mahakimu nao ni hamna kitu, maana ni kibatala huyuhuyu aliyeshinda kesi nyingi tu kwenye mahakama hizihizi!!!!. unaweza ukayadharau sana mswali wanayoyauliza lakini yanasaidia sana mahakama kuunga vi-dot na kupata mkasa mzima na kuweza kuamua kesi. kama ulifuatilia impeachment ya Bill Clinton aliyekuwa presidaa wa Us kwenye saga yake na Monica lewinsky ni tafsiri unazoweza kuziona ndogo na za hovyo kabisa lakini ndio zilimuokoa mzee mzima
Inamaaana na kwa sabaya hizi mahakama hazikuamua kwa hakiiii??
Hata huko kwa Sabaya wenye mamlaka wameamua kama hulijui hilo nikupe pole,ni wewe tu usiyejua kwamba mzalendo namba moja angekuwepo na hiyo kesi ya Sabaya isingekuwepo,akili mu kichwa.Kwa Sabaya mahakama iko vizuri na inapongezwa
Kwa mwenyekiti shida inakuja wenye mamlaka
Tuwache visingizio visivyo vya msingi
Na ulishangilia hukumu pasipo kuyajua kwamba Mbowe yuko ndaniHata huko kwa Sabaya wenye mamlaka wameamua kama hulijui hilo nikupe pole,ni wewe tu usiyejua kwamba mzalendo namba moja angekuwepo na hiyo kesi ya Sabaya isingekuwepo,akili mu kichwa.
Zumbukuku we shule ya kata mwalimu mmoja form four failure unawezaje kupambanua mambo ya sheria? Kweli hata rais ni Wale wale form four failure.Kina kibatala bwana, wana kariri vjfungu vya PGO ili kuwababaisha polisi. Na polisi walivyokuwa makini kutokupoteza muda kwenye mambo irelevant wakawa wanajibu hatujui.
Sasa BAVICHA sababu ni akili ndogo wakawa wanashangilia JF na kutajataja PGO.
Lakini mwisho wa yote Kibatala and team chali!
Bora huyo Mbowe ambaye tunajua aliko, wengine hatujui waliko miaka sasa ila nilishangilia hukumu,hapo vipi?Na ulishangilia hukumu pasipo kuyajua kwamba Mbowe yuko ndani