Mawakili wanaosimamia kesi ya Mbowe wana uwezo mdogo

Kajeba

JF-Expert Member
Oct 15, 2020
800
1,921
Wakuu,

Ni wazi shairi Mbowe si gaidi maana tulitegemea ushahidi utolewe Mahakamani na kesi iishe mapema tu.

Hawa Mawakili wakiongozwa na Peter Kibatala wamekuwa wakihoji mambo madogo kabisa yasiyokuwa na msingi wowote katika kesi hii.

Walituaminisha iko kidubwana kinachoitwa PGO kinaenda kumaliza hii kesi ndogo kumbe imechelewesha kesi yenye msingi.

Wamekuwa wakihoji maswali ya vyakula na vinywaji kama vile mo energy mara nani alilipia nk

Lakini pia waliigomea Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Jinai kwamba haina hadhi ya kujudge kesi hii ya Mbowe, yaani hata hili kweli walikuwa hawalijui?

Walishauri Mbowe agomee yule Jaji wa kwanza na akajitoa kusikiliza kesi hiyo, sasa hata huyu aliyeanza kuisikiliza amejiengua.

Kwa mwenendo wa Mawakili hawa naiona hii kesi inaenda kuishia kubaya kwani uwezo wao ni mdogo kulinganisha na kesi hii.

Ni vema Tundu Lissu arejee kuisimamia ili kumnusuru Mwenyekiti.
 
Sio wao ndugu yangu, hapo kuna mchezo unachezwa na vigogo fulan ndan ya chama, baada ya kugundua kuwa mwenyekiti hana mpango wa kutoka madarakan.

Yan amekifanya chama ni cha kwake na familia yake, wakati kuna watu wameshapoteza nguvu na mali zao kwa ajili ya chama.

Yote yanayofanyika sasa yana mkono wa yule mkoloni mweusi anaeishi ubeberuni na genge lake.

Ndo maana huwa hajishughulishi au kuonesha kuguswa sana na kesi hii. Waswahili wanasema "kikulacho ki nguoni mwako"
 
Nyoko zenu kabisa buku 7 kazini.....kesi mnaamua jumba jeupe mnasingizia upuuzi....gaidi mchezo ?

Subirini waķija kulipa kusasi cha Hamza ndio mtaelewa Gaidi ni nini upuuzi wa Mahitq... mnaita eti Ugaidi hahahaha hao wanataka nyota za bure ......

Subirini waje waźeya mtasimuliq kuwa gaidi anakuwaje...wachumba hao mnasema eti wapelekezi wa ugaidi ahahahha kazi kweli tusubiri muda utaongea
 
Maamuzi ya kimahakama yanaambatana na rejea ya vifungu vya kisheria au kesi zilizokwisha kufanyiwa maamuzi, Je kwenye maamuzi ya Hilo so shauri dogo hayo yameonekana?
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom